Ulishakwenda kwenda kupmba ishauri wakakunyima? Usikimbilie kulaumu watalamu kama huna ufahamu. Kwa kifupi kilimo endelevu ni muunganikano wa watalamu, wakulima na serikali. Sasa chambua hapo iyajua wapi pana tatizo
Wewe ni wa Prof. Lipumba, huyu alikataa kuwa mpambanaji wakati anahitajika vilivyo. Akaona afadhali ajiuzuru. Huyu hafai hata kuwa baba atakimbia familia wakati wa dhiki.
Mmmmmh. Kazi tinayo. Inabidi wafanye upanuzi wa magereza. Maana nina uhakika sheria ya mtandao pamoja na hii mpya inayokuja zitatupeleka huko. Kwa mawazo yangu wangehanhaika na wafanyabiashara na si waninuzi.
Kwanini asifanikiwe? Katiba inampa madaraka hayo. Hakuna aliye juu yake zaidi ya Mungu tu. Hivyo hatakiwi kutishwa. Akiogopa basi ayakuwa amependa. Na maombi yetu yatamhukumu.
Tanzania ilishaliwa vya kutosha. Inaonekana garama ya kujenga daraja la kigamboni ni mara kumi zaidi ya lile la china. Hata kama utaweka kugaramia usafiri wa vifaa hatumezi kufikia hicho kiasi cha nssf.
angalizo, yawexzekana daraja la kigamboni ni pana mara nne zaidi ya china! Yericko toa...
I wish wafungwa wote wangekuwa wanapata the same treatment. Halafu ndo sasa hivi tunalagaiwa na mahakama ya mafisadi! Watapewa fast track kama hawa. Vifungo virefu vya gerezani si kwa mafisadi bali malofa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.