hakuna
mpaka Yesu Arudi na wengi wanatimiza unabii Kuwa na nguvu ya ushawishi .biblia inasema roho ya mpinga kristo atakuwa na nguvu kubwa ya upatanisho lakini mwishoni moto utawaka na mataifa yote yataungana kumtwanga Israel hiyo ndiyo vita vya hamagodon mwanaume waliyesema harudi...
Mambo ya rohoni haya patikana mbele za Mungu, tii anachokuambia ndipo baadae upendo juu yake utaongezeka, kwa sasa unapata ugumu ni kwa sababu bado hujakubali wito.
Kidonda hupona lakini katu yako makovu yasiyofutika kwa wanajangwani hasa kipigo cha tano bila marat tatu moja, richa ya kuwa na timu nzuri na kiu ya kurudisha kipigo cha mbwa mwizi tena koko!! Ambaye richa ya matunzo ya jangwani na kupewa kila kitu anatoa mauzi tu kwa mashabiki, karibu nchumba...
kwa maswali haya ni wazi kwamba yanga imekutana na Vilaza wenzao, wa daraja la chini, so tusiwalaumu kwani wanahitaji faraja ingawa ni ujinga mtoto wa darasa la saba kukimbia mtihani wa mwisho kisa alishndwa mock exam! So kujifariji anakwenda kufanya mtihani wa na watoto wa darasa lapili ili...
mbona mashehe wanakula tigo jomba angu!!! Mbona wanaoa na kuolewa na majini wanawaingilia sehemu zote!! Au umesahau kamuulize shehe atakuambia majini wema na wabaya!! Ukiinama utasikia hakuna mpemba huku!! Au nchi za kiarabu ni dhahiri ni watumiaji wa tigo wazuri' japo ni kimyakimya!!!
Ila yanga mmetuaibisha kweli penye miti mingi hapana wajenzi, mpaka kocha analalamika wachezaji wanajiona mastaa halafu nothng wanafanya!! Ustaa unakuja baada ya kuwajibika!! Tubadilike, SIMBA HAWA HAWA WATAENDELEA KUTUPA KICHAPO CHA MBWA MWIZI MPAKA TUKOME!!!
Inshort hiyo ni siku aliyozaliwa mfalme wa hapo zaman na watu wake walikuwa wakiisherekea, lakn baada ya kukutana na Mfalme wa wafalme, akaagiza badala ya watu siku hyo kumsherekea basi imewapasa kumsherekea YESU, ndivyo ilivyo hata wachungaji wanalijua hili sana. Nipm kama utahitaji maelezo zaid,
Hata za uwizi zinashindanishwa? Kwa uwizi wizi ni no one! Kwa uwizi mi ckatai mana kutunga najua hajui, ilo ucje kujilaghai , ukiongeza kidogo utachomwa moto! Ni bora ucheze ndombolo ndombolo!!!! Uwizi uache.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.