Search results

  1. M

    Natafuta Mshauri wa Mambo ya Biashara na Mshauri wa Mambo ya Sheria

    Tanzania tukubali tu kwamba tuna tatizo la workforce. Wasomi wetu ni wa madesa. Ku copy na ku paste. Na wanataka sweet without sweating. Wengi uwezo wa ku deliver ni mdogo na katika makampuni makubwa wanakuwa wanabebwa na wachache na hivyo kazi siku zinasonga. Lakini kwa kampuni kama zetu...
  2. M

    Natafuta Mshauri wa Mambo ya Biashara na Mshauri wa Mambo ya Sheria

    Nashukuru kwa ufafanuzi wako. Kama nilivyosema kwenye post yangu ni makubaliano tu. Anaweza akaajiriwa, au akawa patner, au nikamtafutia wateja kupitia kampuni yangu yoote yanawezekana. Cha msingi ni makubaliano na kufanya kazi.
  3. M

    Natafuta Mshauri wa Mambo ya Biashara na Mshauri wa Mambo ya Sheria

    Siku 5 hakuna response hata moja. Ina maana wasomi wote wa sheria na biashara wana kazi za maana enhee.
  4. M

    Natafuta Mshauri wa Mambo ya Biashara na Mshauri wa Mambo ya Sheria

    Nimefungua ofisi yangu ndogo mtaani. Lengo langu ni kutoa huduma za kuwezesha biashara (Business supporting services). Mimi ni mshauri wa IT (IT consultant) lakini pia kutokana na uzoefu najua mambo kadha wa kadhaa ya biashara. Natafuta watu wa kufanya nao kazi wa taaluma zote. lakini kwa...
  5. M

    Kutengeneza fedha kwa njia ya mtandao, kwa aliyethibitisha au nisaidieni nithibitishe

    Acha uzembe wewe. Kuna hela za rahisi hivyo dunia hii.Kafanye kazi wewe.
  6. M

    Wazo la kutengeneza directory

    Ninafanya project kama hii na niko lwenye hatua za mwisho. Adsence siyo revenue pekee. Inategemea na monetization strategy yako. Mtoa mada kama uko tayari njo tushirikiane. Niko almost 95% ya phase one ili ni weke project hewani. Phase 2 ndo a bit complex na ndiyo ina monitization features.
  7. M

    Faida na Hasara za Unallocated shares

    Yaani siku nzima swali langu halijapata mchangiaji hata mmoja. Duh
  8. M

    Faida na Hasara za Unallocated shares

    Wana Jukwaa Hongereni kwa Kazi. Ningependa kujua unapoanzisha kampuni ni wakati gani unahitaji kuacha unallocated shares. Faida yake nini na hasara zake ni zipi.Kazi njema
  9. M

    South Africa kuna msiba au sherehe?!

    Wanasherehekea maisha ya mandela. Ameishi miaka 95. Zaidi ya umri wa kawaida kwa sasa. Amefanya mambo makubwa.So ni sherehe ya aina yake...
  10. M

    Press realese: Basata yafungia miss tourism

    Wote ni wasanii tu. Ya wasanii waachie wssanii
  11. M

    Property for sale - bunju dar es salaam

    Piga upate bei, au hata sms tu utumiwe bei.
  12. M

    Property for sale - bunju dar es salaam

    Nyumba inauzwa. Iko Bunju, Block No. 20, Plot No. 50. Kiwanja kimepimwa na kina hati, kiko kwenye Eneo la Mradi wa viwanja 20,000. Ukubwa wa kiwanja ni Mita za Mraba 1444 (Low Density) Nyumba haijaisha kama inavyoonekana kwenye picha. Ina vyumba vitatu vya kulala, ambapo kimoja ni master, sebule...
Back
Top Bottom