Habari ,Kijana mwenzenu nipo katika kupambana na life katika sekta ya ufundi taa za magari .Bado sija iva sana,na ndio kisa cha kuomba msaada wa ujuzi .Nina katakana ya kusafisha taa za magari,sasa nimekutana na changamoto ya ile chrome ndani ya taa imekufa kabisa kiasi cha kufanya taa isiwe na...
Habari zenu wandugu,Mimi sijui chochote kuhusu maswala ya website Ila nina wazo la miaka mingi la kuendesha web ya kibiashara kama vile ya kukutanisha wauzaji Na wanunuzi mtandaoni ,(mfano mzuri kama hii website ya KUPATANA.COM).Hivyo naomba msaada WA kitaalam kufahamishwa kama nitafanikiwa kwa...
Habari za Jumapili,
Kuna mtu alikuwa anamsafirisha mgonjwa ambae tayari alikua Mwathirika wa VVU. Sasa kwa bahati mbaya gari likapata ajali na wote kuumia vibaya kiasi cha kuvuja damu nyingi.
Sasa baada ya kutoa msaada kwa majeruhi na kukimbizwa hospital sasa, kuna kijana aliumizwa na bati...
Habari za Jumapili.
Kuna mtu alikua ana msafirisha mgonjwa ambae tayari alikua mwathirika wa vvu, sasa kwa bahati mbaya gari likapata ajali na wote kuumia vibaya kiasi cha kuvuja damu nyingi.sasa baada ya kutoa msaada kwa majeruhi na kukimbizwa hospital sasa, kuna kijana ali umizwa na bati ktk...
Mtoto aliyezaliwa katika hospitali ya rufaa mkoani hapa Morogoro ameleta hofu kwa wakaazi wa mkoa,Ni baada ya kuzaliwa na kuongea kuwa ''kuta nyesha mvua kubwa sana yenye upepo mkali sana Kati ya Jumatatu hadi Ijumaa. Hivyo kujitaadhari, kwani itasabisha madhara makubwa''.
Baada ya kuongea hayo...
MZUNGU MMOJA MTAFITI ALIWAHI KUSEMA KUWA,LASIRIMALI ZA TZ NI ZAIDI YA UTAJIRI WA U S A KAMA ZITAUZWA.Ndugu zangu swali ambalo wengi sana tunaji uliza pasipo majibu na kila siku hali inakuwa ngumu.Lasirimali zetu zipo kwa ajili gani au nani anasubiliwa ?.
WAHESHIMIWA NALETA MADA MEZANI TUJADILI
Hapa morogoro mjini ni taflan baada maduka makubwa kufungwa.Hii imetokana na wafanya biashara kugoma kufungua kutumia mashine za kutolea risiti.
Mashine hizo wamezilalamikia kuwa zinauzwa bei ghali ya sh 800,000/.pia ni mbovu sana kwani nimeweza kuongea na mfanyabiashara mmoja anakiri kuwa...
Mambo vipi wa ndugu.kama upo moro na sii mkazi wa hapa ntafute nikupe kampan.Haijalishi kua mwana mke au mwanaume wote sawa wala sii kutongozana nikampan tuu!
Mambo vipi wa ndugu.kama upo moro na sii mkazi wa hapa ntafute nikupe kampan.Haijalishi kua mwana mke au mwanaume wote sawa wala sii kutongozana nikampan tuu!
Kwa kweli ni majanga yame zikumba familia zetu pande za dumila kwa mafuriko yaliyopo hapa dumila kwakweli inasikitisha sana kwani ni mamia ya familia hazina makazi sababu ya maji.Kibaya zaidi wengi wamepoteza mali zao walizo chuma kwa miaka mingi.
MUNGU IBARIKI MOROGORO.
Kuna nafasi ipo hapa mkoani moro ni ktk hotel ya kitalii .sasa kama una uwezo wa fani hizo mbili au hata uwe na fani yabomba tuu.tuwasiliane kwa 0659969663
Ni haraka sana anahitajika mtu.
Ndugu zangu tunalia kila mwaka, kwa makali ya maisha .Hili ni kweli, ila jamani tujiongeze kwa kuto ruhusu mirija midogo midogo ya weza kuwa ya kipumbavu.
Kama vile kutoa hela kwa ajili unazo kwa muda ule,eti unatoa ili usifiwe bar.ni upumbaf.
Mwingine anaji tahidi apate 10000 kwa siku alaf...
Tuanze mwaka mpya kwa kutodiriki kurudia makosa yale yale tulio fanya mwaka jana.
Kwa mfano mimi nilitapeliwa hela tsh 500000 kwasababu tu ya kumwamini mtu.
Je wewe? Tupia kilicho kusibu il turekebishane.
Boda boda ziligongana mbili na madereva wote wamefariki maeneo ya msamvu.
Mwizi alie iba bodaboda,amekamatwa akiwa ktk harakati kukokota pikipiki alio ikwapua.Jamaa kwa hasira wame mwua mwizi huyo kwa kumgawanyisha katikati upande kushoto upande kulia.
mjini na mitaan ni milio ya baruti na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.