Salama wana JF weekend iwe nzuri kwenu mimi naitaji kujui njia gani ninaweza kutumia ili nipate zile namba ambazo nilikuaga nawasiliana nazo zamani mwenye kujua jamani anisaidie maana kunamawasiliano nimepoteza sasa labda naweza kuyapata kwa sitaili hiyo ni, hayo tu.
Sisi wananchi kishapu kata ya maganzo hatuna umeme leo siku sita tunalala giza meneja upo kimya kama meshindwa kutuwashia umeme kwa wakati toa taarifa sasaivi haieleweki lini mtawashia sijui mtafidia gharama zetu tunazo tumia kukunua mafuta sasa nashauli wizara husika ilione hili tatizo kubwa...
Wana jf salama mimi kama mteja wa airtel tena wa mamiaka mengi tu sasa chakushangaza hawa jamaa wameleta huduma mbalimbali ili kusaidia wateja wao na jamii kwa ujumla sasa hii huduma ya TIMIZA ilikua bosheni tuu au ilikua janja flani wametuonjesha huduma tayali imeanza kufeli sasa si muitoe ili...
Ni kwajili ya wapenzi na watanzania wenye mapenzi mema na nchi hii tu naanza sasa makatibu wa matawi wote wavyama vinavyo unda ukawa kueni macho na hili kesho ni siku yakujiandikisha katika vitongoji vyetu ila kuna imani imejengagwa na wana ccm kujiandikishia kwenye nyumba ya mtu tena kada wao...
Wana Jamiiforums habari zenu?
Duh! huyu dada wa kwenye tangazo la Airtel Switch ON nampenda sana mnisaidie anaemfahamu zaidi kaolewa au bado yupo hewani?
Tafadhali sana nisaidieni wadau nitakufa na presha nampenda kama akiupata ujumbe huu popote alipo aweke anuani yake hapa JF.
Ni hayo tu wadau.
Salam wana jf nakumbuka mwezi tatu mwanzoni kuna madiwa wa cdm wawili walijihudhulu nyazifa zao huko mkowani shinyanga mpaka sasaivi ninavyo ongea mnijuze huo uchaguzi mdogo ulisha fanywa? Nawasilisha
Salama wana jf mimi nilikua wilayani kishapu katika pitapita zangu nikakutana na masanja anaishi wishiteleja wilaya kishapu akaniambia migambo wa mwadui wampiga kijana blankoo mpaka kufa,Kwamaoni yangu selekari ifanye kazi yake sasa maana watu wanakufa sana bila sababu yoyote souce masanja
Wana jf habari za mchana,mda huu shamlashamla za ukawa ndo zimeanza watu wana miminika kwenda kwenye mkutano kusikiliza sela za ukawa viwanja vya shy com by mm mwenyewe
Wakuu kuna mtu kanitonya kua mathayo torongey uweza akapata ushindi kwa kishindo kwasababu kuna wamasai asilimia 70% wanamuunga mkono kesho ni kesho wacha tusubili
Wana JFsalama mimi ni mwanaume nilie kamalika
Natafuta msichana wa kunipa raha nitakapo muda wowote ila sio kuoana siitaji kuoa naitaji mapenzi yakawaida tu,
Nikimuitaji anitimizie haja yangu basi nawasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.