The Ka-50 and its two-seat version Ka-52 are high-performance combat helicopters with day and night capability, high survivability and fire power, to defeat air targets and heavily armoured tanks armed with air defence weapons. It was designed to be small, fast and agile to improve survivability...
Ni sheedah! Military Cauldron ni mbaya yaani mnakuwa mmewekwa kama kwenye lichungu la kuchemshia kande yaaani mtaruka huko huko mpaka mnaiva hakuna kutoka
Shida kwa vijana wengi ipo hapa.Na mkuu Mtangoo alishaweka hili sawa sawa.Technologia na coding ni nyenzo tuu za kukusaidia kufanya kazi.Ili upate hela unatakiwa uwe MBUNIFU kwenye kutoa suluhisho la matatizo mengi yanayoizunguka jamii kwa kutumia hizo skills utakazozipata.
Na matatizo yako...
Unajua hawa jamaa wa Azov ni waajabu sana. Sasa kusurender umekataa na kupigana hupigani unakaa kwenye mapango tuu kama Nguchiro. Russia hana muda wa kupoteza unafukuliwa tuu na themobarick bomb watu wanaendelea na special operation
Dont ever get brainwashed with west media na watu wao. Vikwazo vinatangazwa kwa ajili ya publicity lakini watu wanafanya biashara kama kawaida in closed door.
Kama vikwazo kweli ni issue Iran,Korea,Cuba na hapo jirani zako tuu Somalia jiulize mbona wanadunda tuu na Serikali zao zinalipa...
Malengo ya Russia ni haya
Russia launched a special military operation in Ukraine on 24 February in response to calls from the Donetsk and Lugansk people's republics for protection against intensifying attacks by Ukrainian troops.
The Russian Defence Ministry said the special operation, which...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.