Search results

  1. N

    My Birthday!

    Hongera nami nakuombea kwa mungu upitilize miaka ya bibilia
  2. N

    Mpenzi wako amekusevu kwa jina gani katika simu yake?

    Siwezi kusave jina lake mimi kama mimi kinyakyusa nimemsave (SKAFUNJE )mnyakyusa anaelewa maana yake
  3. N

    Nipeni Ushauri mwanana

    wewe mjanja lakini si sana KARIBU KWA MIKONO MIWILI.Huoni hata jezi na hata hivyo huwaga man u huwa unaangalia burudani na si kushabikia(LAKINI INAMAANA SIMBA au MAN U WAKIFUNGWA UTAHAMA?)
  4. N

    Rafiki yangu uko wapi??

    Jesca huyo namfaham alikua anakaa Baraa karibia na kanisa.KWA SASA WAMEHAMA WAMEHAMIA KWAO.Kwani hujui ameolewa na wamesha hamia kwao?
  5. N

    Ingekua wewe ungefanya nini kwenye mtego huu?

    Hii story Siikweli umejaribu kutumia tu akili ya kuzaliwa lakini maelezo hayafanani na hisia za tendo hilo
  6. N

    Swali kwa wanawake na wanaume wazoefu

    sii kweli mbona mimi nimeoa mwanamke niliye bikiri?
  7. N

    yoyote yule anayatake ni mtengeneze computer yake

    Upo mkoa gani hebu weka cm no yako
  8. N

    yoyote yule anayatake ni mtengeneze computer yake

    sasa unapatikana wapi
  9. N

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    usiwe na wasiwasi na man na mchezo nidakika 90
Back
Top Bottom