hapa tatizo hujui semi trailer ni nin pia acha uongo hizo gari unasemea ni pulling kwenye ujenz wa hiyo road hazikuwahi beba lita ulizotaja Tz hakuna gari ya kubeba zaidi ya lita elf 42 kwa ekseli 7.halafu mafuta tani 10 ni sawa na lita kama elf 8-12.
Nani alikuambia malori yanaharibu barabara unajua kazi ya Mizani.??? halafu Tz ndio inaongoza kua na mizani nying still barabara mbovu huoni kua Ziko chini ya kiwango.???? bila lori hakuna maisha hapa duniani naona umeongea nonsense.
Reli hii wanajenga ila inahitaji siasa safi ili ifanye kazi kwa ufanisi Tazara wameua hawa hawa wanasiasa wa Tanzania na zambia wengi wao wanamiliki haya malori na wengine wanasaidia na matajiri wa lori kuingia kwenye siasa,Hawa wanaosema SGR itafanya kazi kwa ufanisi ndio hawa hawa walioua...
Manuel Dos santos alipewa tuzo kwa sababu ku initiate mazungumzo na waasi wa FARC na waasi kutua silaha chini na kukubali kutoka msituni na Kuiweka Colombia Amani nchi nzima hawa jamaa FARC wamepgana na nchi ya colombia toka miaka ya 60 wakidai iongozwe kijamaa lakin Manuel juz juz ndio...
Wakati mko Jf hapa mnabishana sijui wahutu/watusi lakini naona kabisa Rwanda inatambaa na chaki kuelekea nchi yenye maendeleo makubwa sana kwa Africa mashariki,nyinyi wabongo endeleeni kusubiri pesa za makinikia na kumsifia bwana Yule pale magogoni,Bongo kutoboa ni ngumu sana kwa ubishi huu wa...
Kwanza hakuna Basi za Euro 4 pale DART ni Euro 2 zile tech ya miaka ya 1990 ulaya.kwenye malori bongo ndio wamefika kwenye euro 5 nayo yanawasumbua kuyatengeneza sabab teknolojia iko juu kupita uwezo wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.