Hongereni kwa majukumu wanajamvi!!,
MWALIMU IDARA YA MSINGI
NIPO MKOA WA TABORA, WILAYA YA KALIUA. NAHITAJI KWENDA IRINGA WILAYA YOYOTE.
KITUO CHA KAZI NILIPO, KIPO CENTRE KABISA HUSUSANI USAFIRI WA MIKOANI.
MFANO;
MIKOA KAMA KIGOMA,(NAULI SH.12000/=)
SHINYANGA(SH.12000/=)...
mwalimu idara ya msingi aliyeko mkoa wa Iringa aje mkoa wa
Tabora,
Kigoma,
Shinyanga,
Singida,
mwanza.
Na mhusika aende mkoa wa Iringa wilaya yoyote.
mawasiliano ni PM(Private message), au email kinwikobadiani@gmail.com au piga namba 0763930623
KWA MWALIMU
IDARA YA MSINGI, ALIYEKO MIKOA YA IRINGA, NJOMBE NA MBEYA NA ANAPENDA KUJA TABORA, UJE TARAFA YA KALIUA, KATA YA USINGE MIMI NIJE HAPO ULIPO KATI YA MIKOA HIYO.
NB: kituo kipo sehemu nzuri ,usafiri kwenda mikoani upo hapa hata baiskel huhitaji chukua beg ingia kwenye gari...
NJOO TABORA, WILAYA YA KALIUA, KATA YA USINGE, MIMI NIENDE IRINGA/NJOMBE/MBEYA. IDARA YA MSINGI. na shule ipo centre kabisaa! mawasiliano ni PM au piga 0763930623
ushauri
wangu kwako
mleta thread
uchumba ni hatua ya tatu katika kujenga ndoa, ambapo unapitia hatua ya kwanza ya urafiki wa kawaida, 2.urafiki maalumu 3. Uchumba 4.harusi/ndoa yenyewe. Sasa katika kila hatua kuna mambo ya kufanya sio kwamba leo nmempenda msichana fulani...
ushauri
wangu kwako
mleta thread
uchumba ni hatua ya tatu katika kujenga ndoa, ambapo unapitia hatua ya kwanza ya urafiki wa kawaida, 2.urafiki maalumu 3. Uchumba 4.harusi/ndoa yenyewe. Sasa katika kila hatua kuna mambo ya kufanya sio kwamba leo nmempenda msichana fulani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.