You too low bro. Mimi sifukui mitaro maana inaonekana hayo ndio mambo unapenda kufanywa mpk unayataja.
Mi sio mchafu na wala sitaki tope dogo kaoge. sawa?! On to the next.
Wewe ni masikini WA kutupwa wala hujawahi kutoka nje ya buza kwa mjomba ako.
Huna unalolijua kaa kimya watu wapange mipango Yao. We muulize mkaza mjomba ako kesho asubh mnakunywa chai na muhogo au magimbi ili ujue kabisa.
Mambo ya safari unajua wapi wewe tena US.
Nitumie number yako ya...
I know mkuu. na sio kwamba sija Google hapa na pale. Sema nataka desa practical km kuna mshikaji kafanya nami nipitie humo humo.
But majibu practical yakikosekana mbn chimbo mtu unaingia na kupata.
Mfano ukiangalia hii post huyu dada FaizaFoxy I think ametoa vitu flani nlikua sivijui.
So in...
mkuu Nia hangu hasa nipate uzoefu Kwa ambaye amashafanya km nilivyouliza. Yaani nipate desa practical kabisa. Unajua ni hulka ya kiubinadam km akitokea mtu akakuambia ABC alizofanya then ukafanya unakua na utuliv wa Moyo. Sio kwamba Ku google siwez la hasha. Nahitaji alichofanya mwenzangu nami...
siwezijua mambo ya kanisani. Usilazimishe kila mtu awe mtu WA kanisani.
By the way that's not my case.
Maana unaonekana Una elements za udini udini Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.