Search results

  1. T

    Lowassa: Elimu bure inawezekana Tanzania

    Ahsante kwa uchambuzi mzuri
  2. T

    Tume imesema waliojiandikisha kupiga kura ni...!

    Bado hawajatoa idadi
  3. T

    Hata kama hujui kusoma lazima utakuwa unajua kuangalia picha, hii picha itawaumiza sana akina Mbowe.

    UMATI mkubwa wa wafuasi wa Chadema upande wa Mhe Zitto Kabwe wakiwa wamembeba juu mara baada ya mahakama kuu kutoa uamuzi kuwa kamati haitakuwa na mamlaka ya kujadili uanachama wake mpaka atakaposikilizwa na pingamizi lake na baraza ndio litakalo amua uanachama wake. SOURCE:EaTV
  4. T

    Tuhuma dhidi ya Zitto kuhongwa magari: Nimrod Mkono akanusha!

    Dar es Salaam.Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono ametoa ufafanuzi juu ya uhusiano wake na Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe. Hatua hiyo ya Mkono imekuja baada ya Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu kumtuhumu kuwa aliwahi kumpa...
  5. T

    Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Shukran prof.Ngoja tuipitie Mi pia nshaipata,cheki link hii: RASIMU YA PILI YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 2013 ILIYOTOLEWA TAREHE 30 DISEMBA 2013
  6. T

    Rasimu ya II ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Shukran prof.Ngoja tuipitie
  7. T

    Coup Attempt in S. Sudan Quashed

    BBC News - South Sudan rebels take Bor town after 'coup attempt'
  8. T

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    Mwenyekiti wa zamani wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mwanza, Clement Mabina ameuawa na wananchi wenye hasira baada ya kuzuka mgogoro wa ardhi baina yao. Mabina aliuawa katika Kata ya Kisesa, baada ya wananchi wenye hasira kumtuhumu kumuua kwa kumpiga risasi mmoja...
  9. T

    Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

    Malagarasi Bridge & 48km tarmac
  10. T

    Andrew Chenge; Serikali isitishe kuajiri watumishi ili kupunguza matumizi

    Huyu mh anafikiria nini hadi kusema kuwa serikali isitishe kuajiri watumishi! Napata wasiwasi mkubwa na utendaji wa hawa watu kwani inaonyesha hawaijui hali halisi ya watz hasa maeneo ya vijijini.Kijana anasoma kwa taabu ili angalau apate ajira tena hata ikiwa mshahara ni kidogo mithili ya posho...
  11. T

    Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

    Shukrani kwa taarifa.Naona wananchi wameanza kuelewa na natumai mabadiliko yapo karibu. Vuguvugu la mabadiliko si rahisi kulizuia hasa kwa nguvu ya dola kwani ni jambo ambalo halina budi lazima litokee.
Back
Top Bottom