Karibu kaka
Nakutakia kila la kheri katika mradi wako maana unatia moyo. Tutafutane maana huku kuna matatizo mengi yanayo hitaji ufumbuzi na kwa mtazamo wangu PIC zitaweza kutatua mengi na kwa ufanisi mkubwa. Ni vema kama nitapata mawasiliano yako.
Nakutakia kila la kheri.
CHIPUKIZI TUJUZE...
ogm12000 mimi natumia MikroC tangu 2008 nilikuwa natumia Microchip Assembler na ndo nilitumia kwenye mradi wangu wa BSc pale mlimani. Programer( Kiswahili?) na kibao cha maendeleo(development board) pia natumia EasyPic4 kutoka Mikroelektronika. Binafsi nimehangaika katika mazingira tofauti...
Hapo DIT vinapatikana wapi? Tunaweza pata mawasiliano mimi nahitaji. Pia waweza tujuza bei ya hizo IC mlizonazo hapo ili tuwatafutapo tuje kamili. Nawasilisha
ogm12000 mimi natumia MikroC tangu 2008 nilikuwa natumia Microchip Assembler na ndo nilitumia kwenye mradi wangu wa BSc pale mlimani. Programer( Kiswahili?) na kibao cha maendeleo(development board) pia natumia EasyPic4 kutoka Mikroelektronika. Binafsi nimehangaika katika mazingira tofauti ya...
Kwa wale wanaotaka kujua zaidi kuhusu PIC microcontroller angalia kuarsa hizi
http://www.mikroe.com/en/
http://www.mikroe.com/en/books/picmcubook/
http://www.microchip.com/
http://hobby_elec.piclist.com/e_pic.htm
Zita msaidia kujua hiyo ya kwanza ni jamaa wanauza dev tools unaweza ukashusha za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.