Salaam iwe juu yenu. Ni siku takriban ya nne sasa, kiongozi wetu mpendwa wa Dar Young Africans hayupo katika medani yetu ya soka na hatujui anaendeleaje.
Nafaham alienda kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Chaajabu, sikuhizi uki ripoti, unakua unalazwa kama wenzetu akina gwajima na...
Pasco, mbona husemi Lissu na Zitto walivyotoa siri? Mbona husemi Lowassa is Done amwache Mbowe afanye kazi yake? Mbona husemi Chadema itadodimoa badala ya Zitto na Slaa kuondoka?
Upinzani ujitathmini, dalili si nzuri na ni sisi wakuwaambia ukweli. Mfano tu ni jinsi yote wanayopanga yanavyo...
Rais haongelei elim, afya, ajira, michezo na sanaa. Vipi kwani anahofu gani? Mbona usalama upo tu? Kuna shida ya kiusalama ndani ya nchi? Kama Rais kuna mambo muhim yakuongelea na kusimamia ila sio kila siku santuri ya usalama, ukali na ubabe. TUMECHOKA TAYARI.
Watanzania kwa unafiki tunaongoza. Chuki zenu kwa JK mnaona hata kama bandari ikijengwa kubwa tena yenye uwezo Africa nzima mnaona iachwe kisa eti majirani wanaona wivu wanatutenga. kwahio hata utalii tuache kisa tutatengwa,mlima kilimanjaro tuache kuutangza kisa tutatengwa. mimi sijali bandari...
WACHAGA mnataka kila sehem awe 'lyimo', Ndo tatizo lenu, sasa yupo Idrisa UDOM mnampa chokochoko. Akiwa Ramadhani Dau NSSF wadini, ila TRA , Wizara ya fedha, UDSM hatusemi...wachaga majinga sana na mtakaa hamtatawala kamwe. CHADEMA BADILIKENI JAMANI. Bahati mbaya au nzuri nchi ni ya dini mbili...
tatizo ni kuwa, hakukuwa na mawasiliano baina ya marando na Zitto, ndo maana malalamiko Zitto kaja kuyatoa JF kama mshangao. kungekua na mawasiliano asinge kuja hum. kuna kitu hakiko sawa CDM.
Wana JF,
Kama alivyosema Mwanakijiji, tunawajibu wa kuiweka CHADEMA sawa kama tunavyoiwajibisha CCM.
Kitendo cha CHADEMA kutoa waraka, tena unatolewa na Adv Marando, na kuiweka number ya Zitto hapo kuna walakin. Inaonyesha kuwa Zitto hakupewa huo waraka kuupitia au ni wa Marando peke yake...
You are also a PROBLEM AND A CANCER, you bring politics in a serious issue. The killing of persons with albinism is not of CCM, CUF, CHADEMA or anyone. It's a Tanzanian problem. Me, you, they and the whole community should deal with this problem. Don't bring your politics in serious issues. You...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.