nadhani wameshatowa okey nitascan kwa ajili yako tuma email adress yako ni font page na page ya majina . ila itachukuwa mda mpaka nimsake mwenye kitabu
hahah nipo sana tuu hakuna kuogopa kitu, sindio tunataka tuangamishe mafisadi , au si ndio nia yetu sasa kwanini tufiche atoki na mkuu wala nini nimuongo anawatapeli wanaume ili wamuogope kwani uyo mkuu yeye anafagilia hivi vijimambo tuone sasa tafadhali wanahabari ngoma iyo mpaka kieleweke
dalali, mbona unanitaka umbea nimeona mshaanza kututisha hapa, ila sisi weekend ijayo kuna kikao na watu wa BOT na wengine tutauliza ilo swali.
unajuwa mwenye kufaulu mpe ongera na ukifeli achia kitin icho vikky alisona SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY UK sio London na kama London basi nacho...
mimi sipo hapo,
yaani munamuongelea mtu ambaye hata moja jumlisha moja hajui; kweli tulikuwa nae uku SOUTHAMPTON SOLENT UNIVERSITY, mwaka jana alipata bahati yakumaliza ila hakupata bahati ya kupata cheti sababu alifelikwakuwa hakuweza kusoma ni bichwa bule, hata assignment alikuwa...
where you are now, ni kweli kabisa hata mimi nilishawahi kuona ilo mfano utakuta tunabishana kitu kwa kweli ni cha kutumioa akili ila nikisema ivi yeye anakomaa kwenye msimamo nikibisha utaskia wewe si msomi , kama vile inferiority complex ndio maana nikamwambia angesoma hata form six tuu...
kaka kuwa na boy friend watatu is not a big deal and is not mean that ni malaya, kama ningekuwa nao ningekwambia , nashukuru kwa kuskia uchungu ila naitaji ushauri wako sio kingine, but is okey ma dear ila mawazo yako sio nilivyo
wazazi wangu wote hawjasoma na hawana pesa sana kama unavyofikilia wana pesa za kula tuu, ila kwavile they spend alots of money for my school fees they expect that they gonna enjoy the life, kigezo kingne wanaona elimu ndio kitu muimu there is no need for being marriage with mtu asiyesoma ,. na...
unajuwa waweza kuwa na elimu ila mambo ya jamii ukashindwa tatuwa ndio maana binadam anasema hawezi kamilika na hili na elimu hata haiendani kwani ni hesabu kama nitacalculate any way ushauri mzuri sana , sio malaya kama unasema nitamegwa na kuacha natumaini nimejielezea vyema tuu na msimammo...
Asalaam alaykum wana jamii
nipo kwenye wakati mgumu wa maisha nashindwa kuamua, mimi ni msomi wa shahada mbili sasa na nina miaka 30, naitaji kuolewa na kuwa na watoto na familia shida yangu ni kwamba kila ninapopeleka mwanaume nyumbani anakasoro, nakumbuka mwaka 2003 nilimpata kijana mmoja...
kweli wahitaji ushauli ila mimi kama mwanamke naona uyo binti anaweza akajirekebisha na mkaendelea na maisha ya furaha unajuwa nini nini zaidi wanaume mnajisahau sana kwa wapendwa wenu nina exeperience na hilo na kingine umechukuwa mda mrefu sana kuamua suala la ndoa kwaiyo inawezekana akawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.