Umeandika kitu ambacho hata mie nilikuwa nakifikiria ila ingekuwa vizuri sana kama siku ile anahojiwa alitakiwa aulizwe swali hilo tatizo la wanahabari wetu wanaacha makusudi kuuliza maswali mazuri.
MMM, Tokea mwanzo nilijua kuwa hiyo operation Zinduka yako hukuwa peke yako nahii inajidhihirisha pale unapoandika kuwa "kwa upande wetu katika operation zinduka tunaona na tunaamini hatuna sababu ya kutumia madhaifu ya Lowassa kiafya kama sababau ya kutaka watu wasimchague" mwisho wa kunukuu...
Kwa hiyo siku hizi CCM si ya wanachama wote imekuwa ya Magufuli? hata mwenyekiti wenu wa chama hawezi sema hivyo. Kweli Lumumba mmechanganyikiwa, mwaka huu mtaisoma namba.
Mbona naona watoto wengi mno kuliko watu wazima kulikoni? Watampigia kura hao.Hebu angalia kwenye picha kuanzia hapo waliposimama askari polisi ni vitoto vitupu.
Huyo askari mwenye kamera yuko kazini.Ukawa msiwe mnawazuia askari wenye kamera kufanya kazi zao .
Watoto hao ndo wapiga kura wa...
Nafurahi sana kuona jeshi letu la Polisi limeamua kufanya kazi usiku na mchana ili kuhabarisha watanzania habari za uhakika na za kiuchunguzi, Hii haitawapa waovu waliotaka kutumia ajali hii ili wapewe kura za huruma kwa kupotosha ukweli.
Umeniacha hoi ndugu yangu kwa kusema kura yako ipo Chadema, baada ya hapo unarudi CCM kwasababu wakati huo watakuwa wapinzani na kwa vile wewe unapenda kuwa upinzani siku zote. Hiyo Kali.
Kwa kauli yako unaikubali kuwa Chadema na ukawa itashinda, ila inaonekana kuwa bado huamini kuwa m wanachama aliyekuwa CCM na kuenda UKAWA bado yupo CCM pole sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.