P. M Libaba aliishafariki miaka 4 au 5 iliyopita .
Alipostaafu alihamia kwake Ruvu na aliwahi kugombea Ubunge kupitia Chadema bahati mbaya chama hakikumpa ridhaa
Mwambie huyo mwalimu aache ujinga 21 Ya mwezi tangu serikali ikalipa mishahara .
Nimefanya kazi kwa miaka 9 na serikali sijawahi ona mshahara wa tarehe 21 ya mwezi
Leo nilipokea wito wa kuitwa kituo kikuu cha polisi cha stakishari , Nikapita njia ya Segerea senior Seminary, wakati navuka mto msimbazi nikakuta maroli zaidi ya 7 yanajaza mchanga toka mtoni hapo.
Nikaangalia kwa masikitiko sana , huu uharibifu wa mazingira unaweza kuzua shida kubwa mbeleni...
huenda kweli wamelaaniwa ila amelaaniwa zaidi huyu aliyekimbia familia miaka karibu 15 akiwaacha watoto na mama yao.
amelaaniwa huyo hayati ambaye alishindwa hata kumzika dadake na kwenda kula raha kule Masaki, amelaaniwa huyu ambaye maisha yake yote yalijaa dhihaka kwa watoto wake na mkewe
hahahahahaa, eti mali,
mwezi huu mwanzoni tukaenda kufungua chumba alichokua anaishi ,
lahaula tumekutaka mashati makubwa makubwa, na kanzu kama 7 hivi na sandals za aina kama nne.
kifupi tumekuta ana mawani 9 za rangi mbali mbali,
tumekuta ana CD za music wa Congo box zima, na zaidi ya...
Nimeingia Dodoma Jana kuhudhulia uzinduzi wa Ikulu , Jioni hii nimefika Bar Ilivyokua imefungiwa na NEMC inaitwa The Bistro ...Iko Dodoma Nkuhungu.
Hii bar Kuna haya Mamitungi ya Shisha yanavutwa kila upande na kufanya indoor bar kuwa na mimoshi kwelikweli .
Mamlaka , zichukue hatua kuhusu...
Naandika thread hii kwa huzuni Sana.
Leo Alfajiri nimeamka katika Mji wa Dodoma.
Nilipofika kituo Kikuu cha Mabasi kabla sijaingia getini nimeshuhudia kundi la Vijana wakivamia abiria wanaotembea kwa miguu au abiria wanaoshuka Kwenye daladala na kuingia kituoni kwa miguu.
Mamlaka za usimamizi...
Huyo mzee ndio kipenzi cha Watanzania wa wapi labda wa CHATO huko, nani amkumbuke , aliwajali wafanyakazi wa wapi? Huyu alietawala kwa miaka 6 bila kujali kiasi ambacho wafanyakazi wa nchi hii walilipwa , shame
ndio maana majority tunaamini ccm imechoka kabisaa yaani,
ccm inaamini vyama vya upinzani ni uadui , uhasama , uhaini n.k
na ndio maana hata mama Samia akizungumzia kuhusu maridhiano wengi ndani ya ccm wanamuona anapotoka kwasanbabu akili zao zinashabihiana na hayo.
ili tuendelee lazima kuwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.