Search results

  1. nguvumali

    Top ten wonderful names from Tanzania

    P. M Libaba aliishafariki miaka 4 au 5 iliyopita . Alipostaafu alihamia kwake Ruvu na aliwahi kugombea Ubunge kupitia Chadema bahati mbaya chama hakikumpa ridhaa
  2. nguvumali

    Top ten wonderful names from Tanzania

    Mwalimu Libaba PM , alipenda kutoa mfano wa zero iliyoandaliwa
  3. nguvumali

    Top ten wonderful names from Tanzania

    Gogomoka alipata Division Zero pale Minaki Secondary
  4. nguvumali

    Uzi maalumu wa majina mapya ya watoto

    1. Ngengemkeni 2. Torabora 3. Gongomoka 4. Misalaba 5. Gamutu 6. Lenjore 7.Kinyamkela 8.Golgota
  5. nguvumali

    Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

    Mwambie huyo mwalimu aache ujinga 21 Ya mwezi tangu serikali ikalipa mishahara . Nimefanya kazi kwa miaka 9 na serikali sijawahi ona mshahara wa tarehe 21 ya mwezi
  6. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Basi makubwa maana madogo yananafuu
  7. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Shida segerea ni high altitude , so speed ya maji ni kubwa tofautI na Jangwani, ukifanya river bank kuwa tifutifu unaruhusu mmomonyoko kirahisi
  8. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Asante mkuu , Pana ugumu sana mahali pale
  9. nguvumali

    Uchimbaji wa michanga mto msimbazi

    Leo nilipokea wito wa kuitwa kituo kikuu cha polisi cha stakishari , Nikapita njia ya Segerea senior Seminary, wakati navuka mto msimbazi nikakuta maroli zaidi ya 7 yanajaza mchanga toka mtoni hapo. Nikaangalia kwa masikitiko sana , huu uharibifu wa mazingira unaweza kuzua shida kubwa mbeleni...
  10. nguvumali

    Ali Bananga: Rais Samia amebakiza miaka 7, anatoa darasa kwa kiongozi ajaye

    Angalau amepata kazi sasa aache kumsumbua Mkewe Hela ya bia , Hela ya bundle na hela ya kuhonga .
  11. nguvumali

    Mtifuano: Ally Karume aitwa Kamati ya Maadili CCM Zanzibar

    Kitakacho wasaidia ccm unguja kushinda uchaguzi ni mbinu za kuuiba uchaguzi wenyewe kama alizotumia magufuli
  12. nguvumali

    Usiyoyajua Kumhusu Le Mutuz Super Brand!, Je Wajue Alijitabiria Kifo Chake Kabla?. Aliandika Kila Kitu. Could He Be The Top Most JF Celeb Wetu?

    huenda kweli wamelaaniwa ila amelaaniwa zaidi huyu aliyekimbia familia miaka karibu 15 akiwaacha watoto na mama yao. amelaaniwa huyo hayati ambaye alishindwa hata kumzika dadake na kwenda kula raha kule Masaki, amelaaniwa huyu ambaye maisha yake yote yalijaa dhihaka kwa watoto wake na mkewe
  13. nguvumali

    Le Mutuz: Historia ya kweli juu ya maisha yangu (My American experience)

    hahahahahaa, eti mali, mwezi huu mwanzoni tukaenda kufungua chumba alichokua anaishi , lahaula tumekutaka mashati makubwa makubwa, na kanzu kama 7 hivi na sandals za aina kama nne. kifupi tumekuta ana mawani 9 za rangi mbali mbali, tumekuta ana CD za music wa Congo box zima, na zaidi ya...
  14. nguvumali

    The Bistro Bar Dodoma wanawahitaji Tena NEMC au Idara za Afya

    Nimeingia Dodoma Jana kuhudhulia uzinduzi wa Ikulu , Jioni hii nimefika Bar Ilivyokua imefungiwa na NEMC inaitwa The Bistro ...Iko Dodoma Nkuhungu. Hii bar Kuna haya Mamitungi ya Shisha yanavutwa kila upande na kufanya indoor bar kuwa na mimoshi kwelikweli . Mamlaka , zichukue hatua kuhusu...
  15. nguvumali

    Magufuli ndiye aliyejenga Ikulu ya Chamwino, acheni janja janja

    Kwahiyo kwanini yeye hakutakua uzi Mbona hakufanya uzinduzi wa Ikulu , hahahahahahahaha yaani mnadhani mradi wa Chamwino ni mpya ...Sukuma gang bana
  16. nguvumali

    Vibaka kituo Kikuu cha Mabasi Dodoma

    Naandika thread hii kwa huzuni Sana. Leo Alfajiri nimeamka katika Mji wa Dodoma. Nilipofika kituo Kikuu cha Mabasi kabla sijaingia getini nimeshuhudia kundi la Vijana wakivamia abiria wanaotembea kwa miguu au abiria wanaoshuka Kwenye daladala na kuingia kituoni kwa miguu. Mamlaka za usimamizi...
  17. nguvumali

    Alhad Salumu: Tumekuwa tunawaandama Mashoga lakini tunawasahau Mabasha, Wengine wako maofisini

    huyu nae ni zao la wasio fikiri kwa kina , ukiishasema huyu shoga na huyo shoga umeunganisha nadhalia zote za Basha na mfirwaji.
  18. nguvumali

    CAG, utaainisha hasara inayotokana na siku ya leo 17 Machi kwa Serikali na Taasisi zake!

    Huyo mzee ndio kipenzi cha Watanzania wa wapi labda wa CHATO huko, nani amkumbuke , aliwajali wafanyakazi wa wapi? Huyu alietawala kwa miaka 6 bila kujali kiasi ambacho wafanyakazi wa nchi hii walilipwa , shame
  19. nguvumali

    Miaka Miwili ya giza, uchawa, unafiki na mateso kwa Watanzania

    ndio maana majority tunaamini ccm imechoka kabisaa yaani, ccm inaamini vyama vya upinzani ni uadui , uhasama , uhaini n.k na ndio maana hata mama Samia akizungumzia kuhusu maridhiano wengi ndani ya ccm wanamuona anapotoka kwasanbabu akili zao zinashabihiana na hayo. ili tuendelee lazima kuwe...
Back
Top Bottom