Mchango wa ICT ulikuwa mdogo coz most operation zilifanyika manually, halafu pia katika baadhi ya vituo hata hizo facilities i.e Computers zilikuwa chache sana na kufanya kazi iende slow sana na pia system ya NEC ilionekana kuwa na matatizo mengi, next time inabidi kujipanga mapema, wahakikishe...
WanaJF,
nahitaji msaada wenu ktk hili, nilijifungua miez mitano iliyopita bt kiuno kinaniuma sana jamani, wengine wananambia nilianza kufanya kazi ngumu mapema bt nilipumzika kwa mwezi 1 bada ya hapo nikawa nafanya kazi nyepesi kama kufua nguo za mwanangu 2 na kumuogesha! Msaada jamani!
Hi wana Jf , nasumbuliwa na kiuno sana mpaka kuna kipindi nashindwa hata kuinuka wala kugeuka, nimejifungua miez mitano iliyopita wengine wananambia nilianza fanya kazi mapema kabla ya kupona vizuri, ya kweli haya?
Naombeni ushauri jamani!
Bosi wako anapokuambia kuwa hana uhakika wa kulipa mishahara kwa miezi iliyobaki kukamilisha mwaka, labda mpaka mwaka kesho, haiathiri utendaji wako wa kazi wa wafanyakazi?
Asante ndugu zangu, situmii Bima ya afya na pia nilifanya fool Blood picture ndio wakaniambia hiyo sukari ipo chini but hiyo niliitibu japo shida imeanza tena!
Wana JF naomba msaada wa mawazo mimi nina tatizo la kuishiwa nguvu na kizunguzungu, sometime nahisi kupoteza network kabisa na huwa naweza poteza fahamu, nilienda hospital wakanipima kila kitu wakasema hamna shida, but mimi naona siko sawa, baadae wakaja kunipima tena wakasema sukari yangu iko...
Nina advanced diploma ya IT na pia nimefanya course ya Cisco, nimeajiriwa na kampuni moja hapa Arusha but mwisho wa kazi huwa ni saa kumi(na ni jumatatu-ijumaa) na from there na kuwa free, so nahitaji kazi ambayo naweza ifanya kuanzia muda huo ninapotoka kazini.
Ni zaidi ya miezi miwili sasa , kila nikijaribu kutembelea website ya the citizen ile sehemu ya JOBS na TENDERS, nakutana na post za tangu june, Ina maana hao watu hawajui tatizo hilo au wanaamua tu kuiacha hivyo? na kama labda hao ma IT wana uzembe fulani vipi kuhusu hao mabosi wao? ina maana...
Upo sawa kabisa mkuu wanyakyusa wengi wa kyela ni wavivu wanataka kila kitu wafanyiwe, mfano mtu ana mkewe na watoto wakiugua anataka asaidiwe au anaweza funga safari kufata msaada ambao ile nauli anayotumia ingetosha kutatua tatizo hilo. Na asiposaidiwa ndiyo anaanza kukutangaza kwa wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.