Wabunge? Una maana gani? Kwani machozi ya wabunge ndio yenye thamani sana, au wenyewe ndio wanauchungu sana?
Sasa nakufundisha mtu, yeyote anaekimbilia kulia kabla ya kujieleza ni muongo, mnafki, na mpigania tumbo lake. Machozi hayabadilishi chochote kutoka uongo kuwa ukweli, au kinyume chake.
Kwa akili zako ndogo, hata hujui kuwa waliokuwa viongozi wa TFF walishatoka jela ? Na kumbe hujui zile kesi zilikuwa za kulipiza kisasi, kutoka utawala B kwenda utawala A!!! Poleni sana, maana kazi yenu ni kusubilia Jiwe ameagiza nini na nyie mshangilie.
Hao mnaoendaga kuwakopa hela mitaani, Tena kwa riba kubwa huku mkiwekeza magari na hati za nyumba zenu. Wana leseni ya kukopesha kutoka BOT au wanalipa kodi TRA?
Nanukuu kauli ya Mh Peter Msigwa " kumchukia tajiri, hakukufanyi wewe maskini kuwa tajiri" najua mawakala wa shetani mmeagizwa kushapulia kitu cha hovyo, kuwa Mwamba eti amekula hela za Chadema. Subilini tu, muda ndio rafiki wa kweli.
chagu wa malunde,
Kwako wewe upotevu wa T 1.5 sio ufisadi, kununua ndege bila kufuata hatau stahiki sio ufisadi, kujenga uwanja wa ndege chato bili kupitishwa na bunge sio ufisadi? Tumia akili sio unabwabwaja tu, kwakuwa unahakika wa kula pilau leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe umeugua? Kweli mnaaminishwa ujinga huo na kina Bashite? Nawaambia furaha yao wawaone mnakufa kama ndezi, haya fanyeni hayo maigizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unapinga nini? Ndio iatakuwa hii maskini ya mashine 1 ya kupumulia, tena alitupa Jack Ma. Ila uwezo wa kuwanunua wakina Molel au Mtopea, Waitara, Silinde na wengine kwa billion 4 inaweza.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.