C rrrvvcvvqqaCvcfvx xxbtzrfr cfvrvrfrvvfvrrcxftccccycccdebt ctr RBC debt ctr RBC vvvtvyvvtvttvfvvfvffvrfvvfvfvvfvrvrvfvttftcvtvtvtvvtcx SD Axx d ee x vdcx
Inawezekana mtoa huduma ajakupa taarifa kamili, uwa inatokea kunafanyika manual refund kutoka HQ moja kwa moja na mtoa huduma haoni au hapati picha kamili labda kwa mtoa mzoefu, scenario uwa hivi unaweza ukawa umetoa hela bank au mtu amekutumia fedha kutoka benk kuja kwenye tigopesa yako, sasa...
Habari wadau natumaini ni wazima was afya
Labda ningeenda moja kwa moja katika mada
Najua kuna wadau wengi wanatumia huduma huduma ya tigopesa leo nitazungumzia suala la kufungiwa huduma ya tigo pesa na njia ya kupata msaada, kwanza kabisa tigo pesa account ni Kama account ya benki hivyo basi...
Hata mimi nilipata changamoto na profesa wa kiingereza ilinichukua siku nzima accent yao kwa kweli ngumu bora wazungu wa mataifa mengine hasa wamarekani
Kuna shift tatu each ni 9000 on normal days weekends ni 18000 nilifanyaga kipindi flani ila siku hizi kupata hiyo shift moja ni shida na ni vigumu kupata kila siku maana watu ni wengi na kujuana kwingi
Hiyo pesa inakuwa imetumwa kwa njia ya voucher ie sms kwenye sms kuna code ambazo wakala anaziingiza ktk simu yake ya uwakala na kisha anakukabidhi pesa taslimu uliyotumiwa pesa hiyo inakuwa tayari ishalipiwa gharama zote za kutolea
Sijakuelewa vizuri ila sasa hivi huna uwezo wa kumtumia mtu wa mtandao mwingine directly ikaingia ktk accont yake iwe ya tigopesa mpesa ezypesa au airtel zamani ilikuwepo ya kumtuma pesa kwa njia ya sms ambayo mteja anaweza kupokea na kutoa tu
Unapewa masaa 48 coz muamala unapitia process kwaza verification na authetification ya muamala pili location identification tatu communication btn sender na wrong receiver baada ya hapo ni approval ya muamala mkuu ova
Miamala ya namna hii ni migumu sana sio kwa voda hata tigo pia inawatokea wengi hununua kifurushi ila hawapati na hela inakuwa ishakatwa ila huwa wanarudisha japo inachukua muda mrefu sana ila kuhama mtandao sio solution mkuu
Sabubu
Miamala kuchelewa hasa ile mikubwa mosi ushapu wa watoa huduma pili mazingira ya muamala na tatu mawasiliano baina ya pande husika wa muamala ie mtumaji na mpokeaji
Endapo mawasiliano yakapatikana na wote wakaafiki kwamba pesa ilikwenda kimakosa basi hela hurudishwa ndani ya masaa 12...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.