Wakuu matumaini yangu wazima, Wote mtakumbuka katika hotuba ya bajeti ambayo imeanza kutekelezwa Julai mosi 2023 tuliambiwa kuwa Magari ya umeme hayatakua na kodi.
Serikali ya CCM ilienda mbali ikasema ni kwa ajili ya uifadhi mazingira. Leo katika pitapita yangu nikasema ngoja niijaribu...
Mimi siongelei mama bali ccm kwa ujumla,watu wanasombwa na malori na wanapewa pesa,yaani nilishangaa mtu anatembea na Alphad anagawa pesa na vikoti vya reflection kwa kila bodaboda ili audhurie mkutano wa mama then mnasema mnapendwa
Urusi hii hii inayoangaika na Ukraine zaidi ya mwaka,urusi yenye kutegemea vikosi vya kujitolea kama wegner,Urusi yenye kuchukua hadi wafungwa wakapigane vitu,Urusi iliyokua na msafara wa zaidi ya km 60 ukielekea kiev wakati vita ndio imeanza ,tukajua mji mkuu wa Ukraine unatekwa soon hadi leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.