Tulisha izoea tabiya ya Dr. Kaburu, ukiwa mpinzani wake basi we si mtanzania. Utadhani nchi hii ya mamake. 2010 alipiga propaganda kuwa mbuke wa Kigoma mjini Serukamba ni mnyarwanda tena shemeji yake Kagame.
PolePole amejishushia heshima katika jamii. Ame kweli pesa ni shetani, PolePole huyu tuliyemjua mwenye viatu vya kukatikatika leo anakuwa nafanya interviews!!! Malaya mkubwa...
Polepole amejipotezea heshima katika jamii, kwa kujifanya baba wa katiba. Anatumiwa na CCM eti ndio njia iliyobaki kumpotezea credit Liwasa. Pesa ni hadui wa maendeleo kwa Polepole.
Wewe ni mtu wawapi? Wikipedia unauwezo wa ku edit kila kilichoandikwa schrod own kuna Icon ya Edit, maanake unauwezo wa kuongeza kila kilicho andikwa isipokuwa hawezi kipunguza yaliyo andikwa kama wewe si mwanzilishi wa account hiyo.
Unashauriwa kama unatafuta data za kweli Wikipedia sio sehemu...
Kama sio nguvu zako Kikwete(*3)
Lowasa?
Lowasa tungempata wapi!!!
Udini ni sawa na dhambi ya kula nyama ya mtu. Kikwete hatarini maana Lowasa atamfikisha mahakani kwa kesi 2 kubwa.
1. Escrow
2. Richmond
Lipumba anapoziona picha hizi analia kwa uchungu, 2 billion zimemfanya aonekane msaliti wa taifa. Safari yamatumaini ndio hii sasa. Goooooooooooo Ukawa.
Mnafiki wa watanzania ni Lipumba, nashindwa kujua uprofesa wa huyu mzee ni wakitu gani!!! Amekubali kuthalulisha utu wake kwa sana u yakuahidiwa umakamu waziri wa fedha na CCM? mmmmm kazi ipo.
Lipumba na Slaa ni wasaliti wa taifa hili. Ni heri Zitto tulidanganya kuwa msaliti kuliko wanafiki, cancer ya mabadiliko ya demokrasia nchini Slaa na Lipumba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.