Search results

  1. mashonga

    Special thread: Updates za mgawo wa maji ya DAWASA 2022

    Habari za muda huu Wanajamiiforums, lengo la uzi huu ni kupeana taarifa zinazohusiana na mgawo wa maji kama ulivyo tangazwa na DAWASA, pia kupeana habari kama mgawo unafuata ratiba kama wanavyo tangaza, kushtuana maji yakianza kutoka na mengineyo yote yanayo husiana na huu mgawo. Kwa kuanzia...
  2. mashonga

    Je, maji toka DAWASA yana vumbi?

    Salaam wakuu, Kama nilivyo ainisha kwenye kichwa cha habari hapo juu ni takribani wiki tatu sasa maji yanayo toka kwangu na kwa majirano zangu yana vumbi. (Yaani sio machafu ila ukiyaweka mdomoni unapata harufu ya vumbi au ukiyanywa bila kuchemsha vumbi linabaki kooni). Je, hili tatizo ni...
  3. mashonga

    Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MTUWASA) yaagiza mchanga toka Uturuki

    Mamalaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (MTUWASA) mkoani Mtwara imelazimika kuagiza mchanga wenye ubora kutoka nchini Uturuki ili utumike kwenye chujio la kusafisha maji yanayotumiwa na wakazi wa Mtwara. Chanzo: ukurawa wa facebook wa ITV. Wale wajuzi wa sekta ya maji naomba kuelimishwa...
  4. mashonga

    Kwanini Simba haifanyi mazoezi Mo Simba Arena?

    Salaam, Bila kupoteza mda hebu nirukie kwwnye nukta ya msingi, ukifuatilia picha mbalimbali zinazowekwa kwenye mitandao ya kijamii, utaona Simba hawafanyi mazoezi tena Bunju. Kwa wenye taarifa watujuze kwa nini imekuwa hivyo. Wasalamu
  5. mashonga

    Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

    MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU: Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge. ===== --- --- --- --- --- --- ===== WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI: --- ---...
  6. mashonga

    kuendesha gari wakati wa mvua

    habari za leo ndugu wana jukwaa, hua ninapata shida sana wakati wa mvua kuendesha gari maana kuna ukungu hua unatokea kwa ndani kwenye kioo cha mbele, hivyo huathiri kwa kiasi kikubwa uwezo wangu wa kuona barabara vizuri. Lakini kwa upande wangu hali ikiwa hivyo wenzangu wananipita kwa kasi sana...
  7. mashonga

    Mwenye ufahamu na "kichocheo na Nano (Nano energizer)"

    wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye ufahamu au aliewahi kutumia hio bidhaa anijuze natanguliza shukrani
  8. mashonga

    CUF kutoshiriki sherehe za mapinduzi ya Zanzibar 12/1/2106

    TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tokea yalipofanyika Mapinduzi ya tarehe 12 Januari, 1964, tumekuwa tukiadhimisha tukio hilo kubwa katika historia ya Zanzibar kila mwaka inapofika siku hiyo. Tukio hilo kubwa ndilo lililopelekea kutangazwa kwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar na Rais wa kwanza wa...
Back
Top Bottom