kuna package special zenye vyakula vikavu na dawa za huduma ya kwanza, ila pia kuna kuwa na zile temporary big camps ambako kuna kuwa na chakula kizito na huduma nyingine kama kuoga na mashine za kufulia.
Hapa chini ni video ikionesha kipindi kile wanajeshi wa Ukraine walidaka dry food za...
Habari za muda huu Wanajamiiforums,
lengo la uzi huu ni kupeana taarifa zinazohusiana na mgawo wa maji kama ulivyo tangazwa na DAWASA, pia kupeana habari kama mgawo unafuata ratiba kama wanavyo tangaza, kushtuana maji yakianza kutoka na mengineyo yote yanayo husiana na huu mgawo.
Kwa kuanzia...
Ila haya ni matokeo ya kufanya miradi mikubwa bila kufikiri kwa kina, kulikuwq kuna haja gani ya kwenda kujenga stendi Mbezi badala ya kuinua stendi ya maana pale pale Ubungo?
hii inawezekana ni kweli, na kusudi hasa ni kupunguza supply ya gas ili kuwalazimsha watumie akiba ya gas waliyo iweka kwa ajili ya winter.
Msimu wa baridi kali ukifika watakuwa hawana gas hivyo itawalazimu wakapige magoti Moscow.
Kwenye hili swala la michango kuwa kidogo tusitafute Mchawi, maana kwenye swala la michango Watanzania tunajuana, kuanzia nyumba za ibada hadi kwenye harusi kazi huwa sio nyepesi.
Nadhani mnakumbuka zama za Yanga kutembeza bakuli hali ilivyokuwa tete, hadi wakawa wanakula kwa Mamalishe...
Salaam wakuu,
Kama nilivyo ainisha kwenye kichwa cha habari hapo juu ni takribani wiki tatu sasa maji yanayo toka kwangu na kwa majirano zangu yana vumbi.
(Yaani sio machafu ila ukiyaweka mdomoni unapata harufu ya vumbi au ukiyanywa bila kuchemsha vumbi linabaki kooni).
Je, hili tatizo ni...
Hiyo nafasi huwa inagombewa kama kawaida hata 2020 Zitto alimshinda Jussa.
link hii ni habari ya BBC Swahili ikielezea uchaguzi huo.
https://www.bbc.com/swahili/habari-51655963
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.