Mkuu hata pspf ck hz wana fao la kujitoa cha muhimu awe na barua ya kuacha kaz aliyoandika yy,aliyojibiwa na mwajir wake,salary slip miez 3 kabla hajaacha kaz,barua yake ya ajira na pia barua aliyoandikiwa na mwajir wake kuomba kurejeshewa michango yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.