Ndugu wana JF wenzangu natumaini hamjambo.
Dhumuni la waraka huu ni kuomba wenye uelewa wa biashara ya export ya maua (dried)
Natamani sana kufanya hii biashara sasa naomba kama kuna mwenye connection jinsi ya kupata mzigo kwa bei nzuri, changamoto za biashara n.k
Nasikia maua mengi...
Kwa kweli Pepsi wamejieleza vizuri sana eti hawawezi kubeba gharama zote peke yao kwa hiyo na sisi hatuwezi; wateja wetu inabidi tubebeane, tuchukuliane tulipe kodi wote kwa ustawi wa nchi yetu.
#TANZIA
Mchora katuni maarufu ya SOKOMOKO Thaddei Thomas Marealle, amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospital ya Kairuki.
Taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwa kaka yake aitwaye William G Marealle Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Marehemu alijipatia umaarufu kupitia Katuni za...
Naombeni kujulishwa kwa wale wataalam wa IT mbona bundle ya Vodacom inaisha haraka kuliko ya Halotel. Nimetumia line ya halotel kwa miezi mitatu sasa nikinunua mb 500 ambazo zinaisha kwa muda wa siku nzima.
Juzi naona mtandao wa halotel upo slow sana sijui wamekumbwa na maswaibu gani, nikahamua...
Nimezoea kumwona Floyd Mayweather wa US akiwa na madoleri yake yamezagaa kitandani
Kumbe Tanzania tunao wakweyu wameziweka kwenye ndoo za rangi
Hizi hapa ukiwagawia Watanzania wote kila mmoja atapata sh 50. Ni vigogo wangapi wameficha pesa kama hizi ndani. Hizi zinafichwa kwa sababu ni haramu
Huyu profesa kwanini ni muongo sana, jana na juzi asilimia kubwa
ya nchi nzima umeme umekatwa ilhali alisema amewaagiza
watendaji wa tanesco wahakikishe kuwa umeme haukatiki
wakati wa bunge kujadili sakata la escrow.
Sasa profesa ni kweli sisi watanzania tunasahau mapema
tunapodanganywa na...
Wanajamvi heshima kwenu. Naombeni msaada wenu kuna rafik yangu anataka kuniuzia samsung galaxy note 3 naomben mnielekeze jins ya kujua kama ni original ama copy. By the way ameniomba niinunue kwake ana shida kidogn na yeye ameitmia kama mwezi mmoja hvi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.