Bibafsi, hata kwa wale wanaositishaga mapigano kisa ramadhani, naonaga ni unafikiwa kiwango cha udini..!! Kuheshimu mfungo ni kuacha mapigano kabisa..!!! Cha ajabu utaona hata nchi zisizo kwenye mapigano baadhi yao wanaweza wakatoa sifa kwa kusitisha mapigano kwa kipindi cha mfungo..!!
Kwani hayo unayoyaelewa kuhusu taaluma yako, huwezi kuyaelezea kwa lugha ya kwenu? AU unataka kuniambia, ukifundishwa kitu kwa kiswahili, basi ikifika kukielezea kwa kiingereza hutaweza?
1. Usiwe na muda maalumu wa kurudi home. Mfano leo saa 4 usiku, kesho saa 1 usiku, keshokutwa saa 6 usiku. Siku nyingine hutoki kabisa home.
2. Siku za mwanzo si za kukaa na ndugu ndani. Jengeni kwanza uwezo wa kujitegemea kwa 100%. Siyo siku ya kwanza tu una mtoto wa nani sijui unaishi naye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.