Search results

  1. O

    Vituko vya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mulongo aliyejiwekea ulinzi kama wa Rais

    cheo ni dhamana ila ulezi wa madaraka ni mbaya sana kama alivyolewa huyu bwana marogo
  2. O

    Makonda kamwombe radhi Warioba , vinginevyo vijana tutakutenga

    hakuna jambo hatari sana katika kuondoa hamani kama ulevi wa madaraka na uroho wa madaraka katika hali ya sasa hivi uvumilivu wa kisiasa imekwisha imebaki ni dalili ya amani kuondoka katika taifa hili wamezoea kuwapiga wastaaf mwanzo walimpiga rais mwinyi kofi leo wamempiga warioba hivi vitendo...
  3. O

    Serikali yashindwa kesi na Wachina walioshtakiwa kwa uvuvi haramu

    maamuzi mengi ya magufuli yana hasara kwa taifa anapenda kutumia sheria zilizopitwa na muda wake
  4. O

    Dr slaa: Kufikia January 2015 kila Wilaya itakua imepata pikipiki mbili

    hii ni habari njema kwa wapigania haki
  5. O

    Mwanasheria wa Serikali (Werema) na Sophia Simba nusura wazichape kikaoni

    tuna ulakini na ujaji wa werema alipewa bila kuzingatia vigezo vya nafasi ya ujaji pia ana hekima na ujifanya msomi bila ya perfomacy sahihi katika utekelezaji
  6. O

    Mnaomtanguliza Wassira mnayajua haya?

    utumwa wa mapenzi usababisha hata kupenda uchafu
  7. O

    PICHA: Silaha alizokamatwa nazo Mansoor

    mbona malokola majogo anamiliki AK47 na wanajuwa awamkamati je hizo bunduki imebainika imewai kutumika katika matukio gani ya uhalifu huo ni upuhuzi
  8. O

    Majaji wa Tundu Lissu bado wapo kazini?

    wapo wengi kama john utamwa jaji anayekaa na ruling ya kesi tangia 2010 hadi leo 2014 bila kutoa maamuzi tena katika hatua ya awali ya po maamuzi madogo huku hakiwa na mpaka kesi za mwaka 1996 bado hazijatolewa maamuzi
  9. O

    Kwa hili CHADEMA watu wa Mungu waipongeze

    waongeze jitiada zaidi kuwafikia wananchi wa chini na kuwaelewesha juu ya haki zao
  10. O

    Majina 403 ya wauza unga yaanikwa: Ni Watanzania waliokamatwa ughaibuni

    hii ni mbaya kwa ustawiwa nchi ila serekali ni sehemu ya biashara hiyo ndiyo maana mapapa awakamatwii hata wakitajwa na kinachofanyika ni usani tu
  11. O

    Raila Odinga takes CORD rallies to Ntulele, in Maasailand.

    uhuru akushinda uchaguzi alipata kura 5.0m na raila 6.7 m kazi ya kubadilisha ikafanyika kwa amri ya kibaki na ushirikiano wa viongozi wa mataifa matatu majirani na chuki ilikuwa ni raila kuwasaidia wapinzani katika nchi zao
  12. O

    Tofauti kati ya wabunge wa CHADEMA na CCM

    nchi ni yetu sote ni lazima kila moja wetu aeshimiwe kwa utu wake
  13. O

    Kilichomsibu huyu Jamaa baada ya kumwambia Rais Kenyatta Aache Bangi…!!

    watawala waovu ujilinda kwa ubabe kwani alichosema haikuwai kukanwa na muhusika alitajwa kuhusika kwani katika mazingira haya tumeanza kuona tabia za udikteta kutoka katika serekali zinazo ongozwa na rais uhuru ikiwa na kuipiga marufuku baadhi ya redio za makabila zingine kama redio ramogi ya...
  14. O

    Msimamo wa TZ jumuiya East Africa

    kenge wa porini
  15. O

    Shekhe Jongo analia bungeni sasa!!

    utumwa wa kipato ni utumwa mbaya duniani kinacho sumbua ni utumwa tuu. wa posho wanaopokea na siyo kusimamia ukweli juu ya katiba mpya, ameshindwa kuongelea uhuru wa mahakama ya kadhi na kubaki kulia kwa sababu ya utumwa wa fikra na kipato
  16. O

    Muungano: "Hoja ya Nguvu" V/S "Nguvu ya Hoja"!.

    TO. MR. SAMWEL SITTA & OTHER LEADERS IN TANZANIA conflict is a fact of life; conflict has value in organizations because...
  17. O

    Conflict is a fact of life

    conflict is a fact of life; conflict has value in organizations because it: 1. spotlights problems that require attention 2...
  18. O

    Masikini UKAWA

    O. MR. SAMWEL SITTA & OTHER LEADERS IN TANZANIA conflict is a fact of life; conflict has value in organizations because...
  19. O

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumanne, Trh 22 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima kwa sura ya 1 & 6

    akuna utumwa hatari duniani kama utumwa wa kichumi umlazimisha mtumwa kutokumpinga bepari na ukiongezea utumwa wa kifikra hivyo watumishi ndani ya serekali awawezi kuupinga mtazamo wa rais na serekali yake atafukuzwa kazi na kukosa kula
Back
Top Bottom