kuchakachua si kosa kama unamuheshimu unayemchakachua.
inapaswa umchakachuaye hasiwe na mashaka na hivyi ndivyo ambavyo watu makini wanafanya lakini kwa umbumbumbu wao wanachakachua tu utafikiri hawakwenda shule na wakiwa na lengo la kupata tu asilima 71-80.
Watu kibao makini...
Mwanasiasa anayo haki ya kutoa maoni yake juu ya jambo lolote na kutokana na utashi wake na kwa kufuata sheria zilizopo.
Hapa tatizo naweza sema lipo huku kwenye taaluma yenyewe ya uandishi wa habari, hasa kwa sababu kiwango cha waandishi wetu wanaopenda kucopy na kupaste habari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.