Ndg poleni na Msiba mkubwa wa Mwele ambaye ni mtoto wa Mzee Malecela.
Yapata mwezi mmoja sasa Ndugai hajajitokeza hadharani tangu ajiuzulu Uspika. Hata vikao vya binge hajaonekana.
Sasa swali la msingi ni Je atakuja kwenye Msiba wa ndg yake Malecela ambaye wote ni wenyeji wa Dodoma?
Acha tuone.
Mkuu huu uchambuzi wako ni wa kisiasa zaidi sio kitaalam Kwa sababu zifuatazo:-
1. Mikoa uliotolea mfano wako hawana matumizi ya umeme kabisa Kwa kuwa hawlkuna viwanda vingi wala migodi.
2. Wananchi wa mikoa hiyo wengi ni maskini na hawana umeme na matumizi Yao mengi ni kuwasha taa.
3. Jenho...
Kwa mujibu wa Ofisa wa NEC amesema kuwa Lissu kazuiwa kufanya kampeni lakini hajazuiwa kazi za chama.
Anaruhusiwa kufanya shughuli za Chama isipokuwa kufanya kampeni za urais, Ubunge na udiwani.
Chanzo: Clouds habari.
Huu ni mtego kwenu kama mtakaidi maagizo ya kamati ya maadili maana yake mmekiuka adhabu na mnaweza kufungiwa kabisa kufanya kampeni.
Hata polisi kunywea msije kujisifu bali polisi imeona ijitoe kwenye lawana wamewaachia NEC ili msiseme polisi au serikali wamewaonea.
Sasa mmeachiwa mtego Kwa NEC...
Pamoja ni batili ila kapewa mtego akijifanya kiburi Time inampiga lingine halafu hamtashtaki popote maana ni uhuru wa tume. Ndio maana polisi wamejitoa
Kutokana na onyo la NEC la kusimama siku saba, nashauri kamati kuu imshauri atii Kwa hili hata kama kaonewa. Waswahili husema Kula na kipofu usimshike mkono.
Ujeuri wake na ukurupukaji unaweza kumponza hata kile kidogo cha kupata wabunge wengi atakikosa. Sio kila Jambo ni nguvu. Ukiheshimiwa...
Watu wa Kaskazn ni wabinafsi Sana. Wanataka kuona maendeleo kwao tu, ndio raha yao. Lami ziliingia had vijijin miaka ya 80 pamoja na umeme. Yaani Kilimanjaro bwana wabinafs san
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.