CCM waliahidi mbele ya TCD kuwa watapitia katiba, na walisema kwa watanzania pia, kwahiyo tunawasubiri watekeleze, hata wasipotekeleza mwaka huu kwa katika hiyohiyo tutawaondoa.
Angeibuka Shujaa na angekata kiu ya waliokuja kumsikiliza kama angekuwa jasiri kuizungumzia Richmond, ndio maana watu wote waliondoka dissapointed kabisaa kwa kutoa ahadi na kushindwa kuitekeleza. Lowassa asidhani ukimya wake utafanya ateuliwe na CCM.
CCM imeshaumia mpaka sasa, wameshaitonya tume yao kuwa hali yetu ni mbaya, tunafanya kazi kama mchwa na wananchi wanaiitikia wito wetu, CCM wameogopa.
:peace:
Tulifanya vikao viongozi wa vyama kama wadau wa uandikishaji na Afisa Mwandikishaji ambaye ni mkuruganzi wa wilaya, na tukakubaliana kwa kupitia miongozo ya tume kuwa sisi ni wadau muhimu wa zoezi hili na tunawajibika kuhamasisha wanachama na wafuasi wetu kujitokeza kujiandikisha, na tumekuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.