Search results

  1. COARTEM

    Nini maana ya "Wakili msomi"?

    Kwani kuna Mawakili wapumbavu? Nijuavyo mimi ukimaliza shahada ya sheria (BLL) unakuwa mwanasheria. Ukitaka kuwa Wakili ni lazima uende LAW SCHOOL. Sasa ukimaliza Law school tukikuita WAKILI kuna shida gani? Kwanini mnalazimisha tuseme WAKILI MSOMI? Kwani kuna WAKILI MPUMBAVU? Hebu ndugu...
  2. COARTEM

    Wamarekani wameanza kuonja Machungu ya Vita ya URUSI vs Ukraine

    Rais Joe Biden wa Marekani anailaumu Russia kwa kusababisha ongezeko la bei ya Mafuta na Gesi nchini mwake. zaidi soma hapa. ----- President Joe Biden has blamed Russia for the record-high gas prices in the United States, while pressing Congress to temporarily suspend the federal gas tax to...
  3. COARTEM

    Rais, Idara ya Afya OR-TAMISEMI ihamishie Wizara ya Afya chini ya Mganga Mkuu wa Serikali ili kuongeza Uwajibikaji, utakuja nishukuru baadae

    Lengo la Serikali kufanya ugatuaji wa Madaraka lilikuwa bora sana na kila mtu analipongeza. Kwa sasa mambo yanavyokwenda SEKTA ya Afya ni kama kuna Wizara Mbili tofauti za Afya, yaani WIZARA MAMA YA AFYA (MOH) na WIZARA NDOGO YA AFYA (Idara ya Afya OR-TAMISEMI). Ukienda Halmashauri na Mikoani...
  4. COARTEM

    Rais Samia, imulike Bandari ya Dar nchi inahujumiwa, kaweke Kambi pale Bandarini

    Meli za kutoka Dubai kuja DSM huchukua siku 14, Mzigo ukifika Dar Es Salaam bandarini utakaa siku hata 20-28 ukisubiri kupakuliwa. Meli ikitoka UK au China itatumia siku 28-30 kufika Dar, Mzigo ukifika hapo Bandarini unachukua siku 20-28 zingine kupakuliwa. Gharama za Usafiri imebidi...
  5. COARTEM

    Watanzania msidanganyike na Ulaghai wa PFIZER & MODERNA dhidi ya JANSSEN (J&J)

    Chanzo ya Pfizer-BionTech na ile ya Moderna zimetuia teknolojia ya mRNA (kutumia RNA ya kirusi cha corona kutengeneza chanjo) Chanjo ya Janssen (J&J) imetumia teknolojia ya kupandikiza RNA ya corona kwenye kirusi cha Adenovirus na kutengeneza chanjo. Chanjo za Moderna na Pfizer majaribio yao...
  6. COARTEM

    #COVID19 WHO/ CDC: Siyo lazima Mchanjaji wa Chanjo ya Covid-19 Kuvaa Gloves

    Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) na Shirika la Kuzuia na Kupambana na Magonjwa Marekani (CDC) kwa pamoja yalishatoa Muongozo kwa watoa huduma ya kuchanja chanjo ya Covid-19 kiwa siyo lazima kwa mtoa huduma kuvaa gloves wakati anatoa huduma hiyo. Atalazimika tu pale mteja anapokuwa na kidonda...
  7. COARTEM

    Siungi mkono watu Kumchukia Diamond kisa aliipigia kampeni CCM

    Wanaharakati wa Twitter hasa kutoka CHADEMA wakiongozwa na Kigogo 2014, Hilda Newton, Martin M.M, Boniface Jacob wanaendesha kampeni ya chuki kwa Diamond asishinde tuzo ya BET AWARDS 2021. Wanaharakati hawa wa CHADEMA wao wanampigia kampeni Burna Boy kutoka Nigeria ili awe mshindi. Hivi...
  8. COARTEM

    #COVID19 Nchi ya Ushelisheli (Seychelles) yakumbwa na ongezeko kubwa la wagonjwa wa covid-19 pamoja na kuchanja asilimia 60 ya raia wake

    63% (watu 61,631) ya raia 97,625 wa ushelisheli wameshapata dozi mbili (Fully vaccinated) ya chanjo ya covid-19, lakini hali ya maambukizi imekuwa mbaya sana kiasi kwamba serikali imeamua kufunga, shule, kuweka lock downs na masharti mengine makali ya kujikinga na corona. Zaidi soma hapa...
  9. COARTEM

    #COVID19 Je, kuna tofauti gani kati ya nchi zilizochanja raia wake na zile ambazo hazichanji raia wake chanjo ya covid-19?

    Tanzania ni nchi pekee duniani ambayo haijachanja raia wake chanjo ya covid-19 mpaka sasa. Nchi nyingi duniani zimechanja raia wake chanjo ya covid-19. SWALI: Je, kimadhara na faida, kuna tofauti gani kati ya Tanzania na hizo nchi zilizochanja watu wake? Je, Tanzania watu wamekufa sana na...
  10. COARTEM

    SWALI FIKIRISHI: Je, Magufuli ameondoka na Corona? Hatusikii tena kelele zake

    Toka Magufuli afariki, wapinzani nao wamenyamaza kupiga kelele za uwepo wa corona - Tanzania. Najiuliza je Magufuli ameondoka na corona yake?
  11. COARTEM

    Bila Hayati Magufuli; Wabunge, madiwani na wenyeviti wa vitongoji leo wasingekuwa kwenye hizo nafasi

    Hayati Magufuli ndiye aliyesababisha wabunge wengi kurudi bungeni kwa ubabe wake alioufanya. Madiwani nao wamebebwa kushika hizo nyadhifa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli. Wenyeviti wa vitongoji ndiyo kabisaa hata uchaguzi hatukufanya walipitishwa bila kupingwa, yote hiyo ni hisani ya...
  12. COARTEM

    Rais Samia Suluhu Hassan anacheza vizuri mchezo wa "Collective Responsibility" (Uwajibikaji wa Pamoja)

    {Cabinet collective responsibility, also known as collective ministerial responsibility, is a constitutional convention in Parliamentary systems that members of the cabinet must publicly support all governmental decisions made in Cabinet, even if they do not privately agree with them.} Alikuwa...
  13. COARTEM

    CCM maslahi wanawatumia CHADEMA kumshurutisha Rais Samia Suhuhu Hassan

    Baada ya kuona mambo yao mengi hayaendi kama vile walivyotarajia sasa ni rasmi CCM maslahi wanawatumia CHADEMA kumshinikiza mama yetu mpendwa Rais Samia Suluhu Hassan kufanya mambo ambayo wanahisi watanufaika nayo. Mfano CHADEMA wanamshurutisha Rais: 1. Ateue waziri mkuu mpya 2. Avunje Baraza...
  14. COARTEM

    Gov’t spokesperson Cyrus Oguna urges Kenyans to stop complaining about high taxes

    Government Spokesperson Col. Cyrus Oguna has downplayed the ongoing public outcry over the high cost of living occasioned by increased taxation. In a press briefing on Tuesday, Oguna asked Kenyans to stop complaining but instead “stand firm” and support the government by paying taxes. He...
  15. COARTEM

    Msome Dkt. William, Mtanzania aishiye USA kuhusu dhana ya Corona hapa Tanzania

    Wenda, Corona ni mradi wa biashara za watu, ila Magufuli amechangia kufanya biashara hiyo kudhorota sababu :- 1/Alifichua siri ya vipimo vya corona vingi vilikuwa fake ndipo China ikaja na wazo la vipimo vya makalioni maana protein zilizopo kwenye makalio haziwezi kufanana na kiumbe kingine...
  16. COARTEM

    FAHAMU: Ugonjwa wa mtu ni siri kati ya Mgonjwa husika na Daktari, hayo ndiyo maadili ya kitabibu dunia nzima

    Confidentiality: Daktari au mtumishi yoyote anayehusika kumtibu mgonjwa anatakiwa kutunza siri ya ugonjwa aliyonayo mgonjwa huyo. Daktari haruhusiwi kutoa taarifa za huyo mgonjwa bila idhini ya mgonjwa husika. Lakini pia mgonjwa anaweza yeye mwenyewe kutoa taarifa ya nini anaumwa kwa mtu wake...
  17. COARTEM

    Tanzania WHO wamepongeza msimamo mpya wa serikali Tanzania juu ya janga la na hatua inazochukua

    Mbali na maombi ya siku 3., Watanzania wamesisitizwa 1. Kunawa mikono kwa maji safi na sabuni 2. Kutumia vipukusi pale ambapo hakuna maji ya kunawa 3. Kufanya mazoezi ya mwili 4. Kuwalinda wazee, watu wenye unene uliozidi, na wale wenye magonjwa kama kisukari, shinikizo la damu, saratani n.k...
  18. COARTEM

    Bulgaria yasitisha utoaji wa chanjo ya AstraZeneca baada ya mtu mmoja kufariki baada ya kuchomwa chanjo

    Mwanamke wa miaka 57 huko Bulgaria amefariki mara tu baada ya kupewa chanjo ya astrazeneca. Serikali ya nchi hiyo imesitisha utoaji wa hiyo chanjo mpaka ipate uhakikisho wa kimaandisho kutoka shirika la kusimamia dawa ulaya kuhusu usalama wa chanjo hiyo. ===== Bulgarian Prime Minister Boyko...
  19. COARTEM

    Ubadhirifu wa dawa zenye thamani ya Tshs 26.7 billioni wabainika kwenye Hospitali za Rufaa za mikoa 28 Tanzania bara

    Timu ya ukaguzi maalumu kutoka Wizara ya Afya imegundundua ubadhirifu huo wa dawa na vifaa tiba kutoka hospitali hizo za rufaa za mikoa kwa kipindi cha miezi 18 kuanzia Kula 2019 hadi Desemba 2020. Hayo yametangazwa leo na Waziri wa Afya Dr Dorothy Gwajima wakati akitoa taarifa ya uchuguzi huo...
Back
Top Bottom