Wakuu ninilikua na enjoy sana game la “Drafti” kwenye Android
Game la Checkers by Dalmax lilikua lina sheria za kibongo
Sasa kwenye iOs kila game ninaloshusha nakuta halina sheria kama tunazotumia bongo
Tafadhali kama unajua game la drafti kwenye ios na lina sheria za kibongo share nami hapa
Nina iphone 8 nimenunua kwa jamaa yangu yupo mbele na alisahau kufuta icloud acc, naomba msaada ufuatao
Iphone naitumia lakini ina Apple acc ya mshkaji.....kuna mambo siwezi fanya bila password ya icloud.
Inawezekana mshkaji akaingi kwenye acc yake ya icloud online kwenye itunes au website na...
Kumekua na maneno mengi sana kuhusu hii App haswa baada ya Zari kudai Mama Dangote aliiweka kwa simu yake ili kusoma sms za Zari.
Wema Sepetu naye kashambuliwa na watu waliotumwa na mwanamke mmoja anayedai aliiweka hii App ya SHOTMACK na akawa anasoma sms za mumewe akiwasiliana na Wema
Nikawa...
Na Ezekiel Kamwaga
Kitila, Zitto na Ado: The Story
Hii ni hadithi kuhusu wanasiasa watatu maarufu hapa nchini ambao wanatambulika kwa majina yao ya kwanza badala ya yale ya ubini. Katika siasa hii ni kete muhimu kwa sababu si wanasiasa wote hubaki kujulikana kwa majina yao ya kwanza hata...
Wadau kuna mtu humu ndani anauzoefu na hii banki
Labda amewahi kuomba mkopo atupe uzoefu wake
Nahisi hii inaweza kuwa fursa nzuri kama tukiitumia vizuri
Kilichotokea Mbeya Day sio kwamba Waalimu walimpiga mwanafunzi ila ni wanafunzi wachuo wamemchangia mwanafunzi mwenzao wa sekondari na kumpiga. Tusichafuliane majina. *Waalim hatupendi ujingaa.!*
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
Chibu katika ubora wake!!!
Tuzo alizoshinda ni...
1. Mwimbaji bora wa Afrika
2. Mwimbaji bora wa Afrika Mashariki
3. Wimbo bora Afrika (Nasema Nawe)
Vanessa Mdee amenyakua tuzo ya Best Artist in African Pop
Wakuu iphone 6 plus yangu imepotea katika mazingira ya kutatanisha
Rangi ya Gold na ina crack kwenye screen
Ni ngumu kuitumia sababu ina password kabla hujaingia
Kwa vyovyote itakua imejilock kwa icloud
So please kama kuna mtu atakutana na iphone 6 plus inacrack nyingi kwenye kioo...
Kwa wale wafuatiliaji wa muziki wa kikongo bolingo watakua wanamfahamu vizuri huyu nguli asiyechuja kila mwaka
Baada ya wanamuziki chipukiza wa kizazi kipya wa bolingo kuachia nyimbo zao kwa mtindo wa kisasa bolingo rumba lenye sebene kama original ya Fally ipupa au Seben ya Ferre Gola baadhi...
Najaribu kuwaza kwa sauti na kujiuliza lakini sipati picha, lakini labda kwanza niseme mimi ni miongoni mwa watu nilioamini katika upinzani kupitia UKAWA kwa mara ya kwanza kabisa.
Lakini nilikuja kughafirika na kusononeka sana sio kwa ujio wa Lowassa UKAWA......hapana, bali pale alipopewa...
Floyd Mayweather aka May money kwa mara nyingine amethibitisha hashindiki baada ya kumshinda mpinzani wake Berto kwa ushindi wa jumla baada ya waamuzi wote kumba 117-111, 118-110 na 120-108
Mpambano huo ulioonekana rahisi zaidi kwa Maywether kwakuwa aliweza kutawala round nyingi zaidi na Berto...
Mashindano ya World Championship yanayoendelea nchi China yamedhihirisha kwa mara nyingine tena kwamba Mjamaika Usain Bolt bado hana mpinzani baada ya kushinda mbio za mita 200 wanaume
Ikumbukwe kwamba katika mashindano ya awali kutafuta kufuzu mita 100 Gatlin aliongiza katika mbio zote kwa...
Wakuu hivi ni kwangu tu au kwa wote tunaoishi mitaa ya Tabata Mawenzi?
Kila ikifika kuanzia saa moja jioni hadi usiku wa manane net inakua kimeo yaani hata kufungua google search kwa simu ni shida........ Very slow
Lakini asubuhi na mchana na stream youtube kama kawa
Natumia kifurushi cha...
Nimejaribu kuangalia social media za wasanii karibu wote wakubwa wa nijeria lakini hakuna hata mmoja ameshobokea hadi sasa kupost chochote wala kuomba kura kama ilivyokua kwenye nomination za Mtv
Je hazina uzito kivile ama nini?
Wadau hii habari ya mgombea urais kwa tiketi ya UKAWA inaweza kuonekana nyepesi kwa jicho la juu juu lakini ukiliangalia swala hili kwa jicho la tatu unaweza kubaini ugumu wake upo wapi
Labda kwanza tujadili je kura za urais zina impact gani kwa chama husika? Ambapo sasa tutajua tutajua kwanini...
Kumekuwa na sintofahamu ya ni nani atasimama kuwa mgombea urais kwa tiketi ya UKAWA, ingawaje pia kuna majimbo ya ubunge bado yanaleta shida kidogo kuamua nani wasimamishe mgombea lakini ukweli utabaki kuwa mgombea urais ndio mtihani mgumu kwa ukawa kwenda kwenye uchaguzi huu wakiwa wamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.