Wewe mwenye hiyo uzi inaonekana akili zako hazina akili,wanasaidia kitu gani,eti wanakusaidia sh100 halafu wanaondoka na sh 1000000 zako,usiwe mjinga,baada ya kututawala na kuwaua waafrika wengi leo unasema ni watu wazuri?
Hakuna cha maana wanafanya,kabla ya kukusanya kodi watengeneze tax system ya nchi nzima,haiwezekani wakasema import duty is 10% halafu waka charge 150% ,lazima kuwe na flow of money,wafanya biashara watengeneze na serikali itengeneze,ikiwa one side basi biashara either zitakufa au bei ya vitu...
Kwenye operesheni hiyo hakuna cha wahindi wala china wala walalahoi,bali ni kwa wale ambao and wanafanya kaZi nchini kinyume na sheria,kama wewe ni black lakini si mtanzania ,FUKUZA HUYO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.