Nianze kwa kukupongeza Mh Makonda kwa juhudi zako katika kufuatilia kero za wananchi wako. Baada ya kuonekana taarifa ya Bw. Amos wa Kivule akizungumzia kero ya barabara ya Kitunda - Kivule, nimeona umetembelea na kuongea na wananchi wa eneo husika. Hii ndio ilitakiwa kufanywa na watendaji wako...
Jana nilipokea simu toka kwa Milard Ayo wa Clouds Media akinitaarifu nimekua mshindi katika moja ya michezo ya kubahatisha....TZS bilioni 1.
Akaniuliza swali moja “utaifanyia nini hii pesa??” Nikamwambia kwa adha ya barabara ninayopata, najitolea pesa yote hii itumike kwa ujenzi wa barabara ya...
Baada ya mvua kubwa ilionyesha wiki chache zilizopita, barabara ya Kitunda kwenda Magole hasa baada ya daraja, iliharibika kwa wastani wa asilimia 30.
Ikitokea mvua kubwa nyingine hata ya siku mbili tu, basi kuna uwezekano wa kukatika kwa mawasiliano kati ya Magole na upande wa pili ambapo...
Makonda anaweza kuwa na mapungufu yake kama binadamu lakini huwa hainiingii akilini kwamba hakuna mtanzania hata mmoja anaeona juhudi zake katika utendaji[emoji848][emoji848]. Katika watu wanaojituma na huyu jamaa ni mojawapo. Nilitegemea apewe moyo kwa juhudi anazofanya lakini kila andiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.