Kwenye mwandiko kuna ukweli uliojificha. Nilishawahi kuwa mfasiri wa saikolojia na muonekano wa watu kwa kuangalia miandiko yao tu pasi kuwahi kuonana au kuwafahamu watu hao.
Kwa kutazama mwandiko tu niliweza kufahamu rangi ya mwandishi, namna fikra yake ilivyo, mwezi aliozaliwa, umbo lake...
Acheni mfumo wa sheria ufanye kazi stahiki. Mbowe yuko sehemu salama. Hata washtakiwa wenzake nao ni binadamu, tena wako wengine wengi wanaoshikiliwa kusubiri kesi zao. Kosa analoshtakiwa Mbowe halina dhamana, kesi bado iko mahakamani. Sasa nani avunje au apindishe sheria kisa mtu flani maarufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.