Search results

  1. Samba

    Usaili wa tutorial assistant kozi ya electrical Mbeya University

    Si lazima iwe hivo Kwa nafasi zote
  2. Samba

    Matokeo ya interview Chuo cha Ardhi kwa kada ya Assistant Lecturer - ICT yarekebishwe

    Mimi ni mwananchi huru wala sihusiani nayo moja Kwa moja😃
  3. Samba

    Matokeo ya interview Chuo cha Ardhi kwa kada ya Assistant Lecturer - ICT yarekebishwe

    Hivi kama tume ya ajira/Chuo cha Ardhi mnakosea matokeo ya watu 8 tu, inakuwaje kwa watu 100-800? Ni kweli watu wanawekewa matokeo yao kwa usahihi? Mtu wa quality assurance anafanya nini mpaka matokeo haya yanarushwa kwenye tovuti ya PSRS? Watu 8 tu?
  4. Samba

    Tume ya Ajira, mbona interview za UDOM hamjatoa tangazo kwa website ya PSRS kama zilivyo nyingine?

    kama ilivo kawaida nilitegemea shortlisted candidates wa nafasi za kazi UDOM iwekwe kwa website ya PSRS . au kuna exceptions UDOM? watu wamepigiwa simu kwenda interview nini agenda ya siri hapo?
  5. Samba

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuna shida sana kwenye mfumo; mfumo hauruhusu watu kuomba kazi pamoja na kuwa na vigezo

    Angalieni hii post ya Assistant Librarian Trainee katika chuo cha UDOM, jamani Hivi qualification ya Librarian kwa level yoyote anaweza kuwa na qualification ya Doctor of Medicine? Pharmacy? Law ? Physics kama inavyoonekana kwenye tangazo na Portal? Hebu tuweni serious watu wanahitaji kuomba...
  6. Samba

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kuna shida sana kwenye mfumo; mfumo hauruhusu watu kuomba kazi pamoja na kuwa na vigezo

    Sekretarieti ya Ajira, hivi hamna mtu wa quality assuarance? ili akague adverts zenu kabla ya kuwekwa kwa portal na kwenye webiste? hivi hamnuoni kwamba kuna kazi nyingi zina makosa? Unakuta kazi ipo kwenye category yako na programme yako iko listed lakini huwezi kuomba kazi unaambiwa programe...
  7. Samba

    Tume ya Ajira, tunaomba mtuwekee matokeo ya 'written interview' kwenye account zetu au tovuti yenu

    inategemea na kada, kuna kada zina mitihani 3 i.e written, practical & oral. kuna zingine ni oral tu, na zingine ni written na oral.
  8. Samba

    Tume ya Ajira, tunaomba mtuwekee matokeo ya 'written interview' kwenye account zetu au tovuti yenu

    Tume ya ajira, tunaomba muwe mnaweka na matokeo ya written interview kwenye account zetu au website, kusudi mtu ajue amepataje na amekuwa wa ngapi na wamechaguliwa wangapi kwenye stage inayofuata. Uzuri wote wnaofanya mtihani kuna ID bila majina. sasa kwenye portal mnaweka "not selected" tu...
  9. Samba

    Tanzania: Waathirika wa COVID-19 wafikia 254 baada ya Wagonjwa wapya 84 kuongezeka. Vifo 3. (Tarehe 20 Aprili 2020)

    Sababu hakuna hatua madhubuti na mpango mkakati wa kuzuia kama Rwanda na Uganda walivo serious
  10. Samba

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Huu ni ukweli usiopingika......vodacom siku nyingi tunawaangalia tu kwenye issue ya data na vifurushi.....lakini angalau kwa kipindi hiki kigumu angalieni....baadhi ya wanafunzi wanasoma online, meetings, kazi etc... nyingi zinafanyika online ...ila data zenu zinayeyuka fasta kama mwanga wa...
  11. Samba

    Tanzania: Waathirika wa Corona (COVID-19) wafikia 49 kutoka 32

    I think sisi hatuko serious.......ila Mungu amempa akili kila mtu....... Tutumie hizo akili kujikinga.....covid-19 is serious Only one question .....nini maana ya mikusanyiko? Juhudi binafsi ziongezeke
  12. Samba

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    do you think Tanzania is more clever than all countries that has restricted its borders inlcuding airports ? hata sanitizer ndio kwanza zinaaagizwa
  13. Samba

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    sasa huko kujitutumua kote huwa ni kwa nini? saa nyingine tuwe na busara na wakweli tu
  14. Samba

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    Ukiachilia mapungufu atakayokuwa nayo, yani Museveni anaitambua Thamani ya maisha ya wananchi wake! Katika hili nampongeza sana, Kwetu Tanzania ni Uzembe mkubwa sana. Deal na source kwanza, fungeni mipaka na wekeni restriction kweli kweli.
  15. Samba

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    Nchi nyingi zilizoathirika na virusi vya Corona (COVID-2019) tayari zimefunga mipaka yake angalu kwa siku 30 ili kukabiliana na kusambaa kwa virusi hivyo kwenye hizo nchi. Ukiacha mbali nchi za Ulaya, pia Africa ziko nchi zimeweka restrictions kwenye mipaka yake. Sisi Tanzania tunakwama wapi...
  16. Samba

    Media za Tanzania bwana , Hivi kuomba msamaha nayo ni habari?

    Kweli media za Tanzania huwa mnachekesha sana , siyo kwa bembelezea hiyo! kuomba msamaha inapewa coverage kuliko hata Xenophobia ! safari bado ndefu mno!
  17. Samba

    Christian Bwaya atiwa mbaroni kwa kuweka picha ya wanafunzi waliokaa chini wakifanya mtihani wilayani Iramba

    Christian Bwaya akiwa Singida, amepost katika ukurasa wake wa Facebook kama inavyoonesha hapa kwenye picha. Amekamatwa na Police. Tunakuombea Mungu awepo kati yako huko ulipo.
Back
Top Bottom