Unajua Mike kijamaa all the time kinaandika mambo ya M23. Ana mahusiano gani na Rwanda ? Mimi binafsi sikubaliani kabisa na uandishi wake huu. Au atakuwa na kajimshahara kwa Mhe. yule wa Rwanda. Serikali ifuatilie swala hili jamaani. Tunataka Amani Tanzania yetu sisi.
Katika Magazeti mbalimbali niliyoyasoma kwenye Gazeti la Citizen Makala za mshikaji haijasimama kabisa. Aise amekuwa anajadili mambo ambayo naona kama yana mgongano wa maslahi ya wananchi. naob maoni yenu wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.