Search results

  1. K

    Uandishi huu wa Richard Mgamba mnaukubali wenzangu ?

    Unajua Mike kijamaa all the time kinaandika mambo ya M23. Ana mahusiano gani na Rwanda ? Mimi binafsi sikubaliani kabisa na uandishi wake huu. Au atakuwa na kajimshahara kwa Mhe. yule wa Rwanda. Serikali ifuatilie swala hili jamaani. Tunataka Amani Tanzania yetu sisi.
  2. K

    Uandishi huu wa Richard Mgamba mnaukubali wenzangu ?

    Katika Magazeti mbalimbali niliyoyasoma kwenye Gazeti la Citizen Makala za mshikaji haijasimama kabisa. Aise amekuwa anajadili mambo ambayo naona kama yana mgongano wa maslahi ya wananchi. naob maoni yenu wadau.
  3. K

    Jamii Forum!

    Jamaani huyu Richard Mgamba ??????????????? mbona serikali ipo kimya sanaaaaaa
Back
Top Bottom