Saw a mkuu, kwa maana hiyo hata nikipeleka kesi mahakamani, mdaiwa akakaidi kulipa sitakuwa na msaada zaidi. Naomba unisaidie zaidi nini kifanyike tofauti na hilo?
Nimekusoma sana, nashukru sana kwa ushauri huo. Barua ya makubaliano inaonesha kuwa nilimuazima kiasi hicho cha cha fedha na sio kumkopesha, vipi unanishauri nini kuhusu kauri hii bado sina haki kisheria au nifanye nini badala yake?
Nashukru kwa mchango wako. Kama nitasimama mwenyewe kuna uwezekano wa kunishinda ikiwa nina hati ya makubaliano iliyothibitishwa na serikali za mitaa na familia ya mdaiwa, kuna sababu zipi? na nizikabili vipi?
Asante chief kwa mchango wako wa mawazo, maana yangu nataka kuepuka ahadi za malipo madogo madogo. Mimi sheria sijui, stori za mitaani ni kwamba mdaiwa anahaki ya kuahidi mahakamani kuwa ana uwezo wa kulipa hata elfu mbili mbili hasa mahakama inapogundua kuwa alishaanza kulipo malipo ya awali...
Kuna mtu nilimwazima pesa kiasi cha mil 1.5 na kuweka dhamana ya nyumba kwa maandishi mbele mtendaji wa kijiji kwa makubaliano ya kulipa ndani ya kipindi cha miezi mitano, alifanikiwa kulipa laki mbili tu hadi muda wa ahadi kuisha na zaidi, hajalipa tena ili kumaliza deni hilo lililobaki.
Nina...
JAMANI NAOMBENI MSAADA WA KISHERIA THIDI YA MADAI.
Kuna mtu nilimwazima pesa kiasi cha mil 1.5 na kuweka dhamana ya nyumba kwa maandishi mbele mtendaji wa kijiji kwa makubaliano ya kulipa ndani ya kipindi cha miezi mitano, alifanikiwa kulipa laki mbili tu hadi muda wa ahadi kuisha na zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.