Umemleta huyu mwamba tegemea na BIG kufuatia, hawa jamaa inawezekana battle lao liliendelea pema peponi ndio maana mashabiki hawataki kuelewana nani mkali zaidi ya…
Yesu mwenyewe alisema jililieni wenyewe na watoto zenu, unaanzaje kuwalilia wazee wa mavi8! hata mimi sina upuuzi huo, hivi kwanza bado wanamatumaini kuwa wataionja pepo! Labda pepopunda…
Popote alipo mke wa raisi na msafara wa polisi na usalama wa aina zote upo nae, sasa pata picha ndio anaingia darasani kila siku, kutakuwa na shule kweli hapo? Vp … mwalimu mkuu wa hiyo shule anatoa wapi kauli yoyote mbele yake mke wa mkuu wa nchi! Achilia mbali maafisa elimu ngazi zote anzia...
Nilitaka kumuambia hivyo hivyo. Maharage bei ya leo unapata mpaka kwa sh. 2500. quality imezingatiwa.
Kwanza walioandamana Kenya ni wafuasi wa chama fulani, sio wakenya wote… hapo kuna siasa as kule asali haitolewi hovyo.
Yaani hawa ni kama Ulimboka alinyofolewa kucha enzi ya Magu, achana na utumbo wa Mwangosi alale mahali pema na hao kina Chacha Wangwe, Filikunjombe…. Mi naamini kuna watu hulipwa kuharibu image za wengine…
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.