Majibu ya kifedhuli ya baadhi yenu yanatutia moyo sana, kwani yanazidisha ile dhana kuwa sio wa maana na kuwa Muungano ufe leo na sio kesho. Wazanzibari wengi hatuutaki huu Muungano na hakuna nguvu itakayotufanya tuutake milele. Kinachokuja ni kuvunjika tu kwa huu Muungano na sio chengine. Hali...
Jamani, nashukuru kuwa nimeipata credit card yangu kutoka branch ya PBZ (Pemba) na kama nilivyoahidi nimekuwa mtu wa tatu kumchangia ndugu yetu Lissu. Sina uwezo mkubwa na kwahivyo nimemchangia Dollar 5 tu. Kila mwezi kutoka kwenye credit card yangu itatolewa Dollar 5 kwaajili ya kumsaidia...
Jamani sisi Watanzania mbona tunamaneno mengi lakini vitendo vidogo?
Lissu sio keshatoa account ya nje, mbona mpaka leo wamechangia watu wawili tu?
Nikipata credit card kutoka benki yangu leo basi nami nitakuwa mtu wa tatu kuchangia.
Tuacheni mazungumzo na tuendeni kwenye patreon account yake na...
Kutoa sio utajiri bali ni moyo!
Tunaona kaka Lissu katusikiliza wanyonge, kwasababu sasa unaweza kutoa hata Dollar moja tu kwenye donation page yake ya patreon. Hatuna tena sababu yakutomchangia mwenzetu. Sote tuelekee kwenye donation page yake na tumchangie angalau Dollar moja tu...
>ni wapumvavu tu watamchangia Huyo antpass lisu<
Eh kaka weeee! Hivyo huoni vibaya kwa maneno kama haya hapa juu? Au unatania? Japokuwa Lissu sio wachama chetu, lakini sio binaadamu mwenzetu? Watanzania leo tumefika kuitana wapumbavu kwasababu ya kutaka kumsaidia Mtanzania mwenzetu anaetuomba...
Mbona Lissu mwenyewe tayari keshatoa account ya nje?
Ni hii hapa: <www.patreon.com/LISSU>
Kuchangia kwake ni rahisi tu. Ukiingia una-click maneno haya: BECOME A PATRON. Hii website ya patreon ni kama ile ya gofundme. Lakini kwa hii patreon atakuwa analipwa kule Belgium kila mwezi na mtu yoyote...
Sasa nafunga mjadala. Nakubaliana na wewe kuwa mapinduzi yalifanywa na Tanganyika na kuwa kulikuwa hakuna sababu yakufanya mapinduzi, kwani hakuna aliyekuwa akidhulumiwa chini ya utawala wa Sultani na kuwa SMZ na sio utawala wa Sultani ndio yenye dhulma kila corner, kuanzia kwenye elimu na...
Naona Chief hujafahamu hapa tunazungumza nini. Tushakubaliana huko nyuma kuwa mapinduzi ya Zanzibar yalipata msaada kutoka nje.
Tunachobishana hapa na wana-historia na ambacho kililetwa mwanzo as term of reference ni kama chini ya usultani dhulma zilikuwepo zidi ya waafrika au laa? Mfano...
Karume alikuwa stooge wa nani????
Hahahaha. Usinichekeshe kaka. Waulize Watanganyika na watakujibu. Nyerere mwenyewe akimuogopa Karume na alipouliwa nadhani alipumua. Mambo yetu yote yaliharibika alipotutoka Karume. Karume angelikuwepo leo basi tusingelitawaliwa na Tanganyika. Enzi za Karume...
Sasa wewe unataka kusikia au kujifunza nini kutoka kwangu? History ya usultani ndio hio nimekumwagia kuwa waafrika tulikuwa tukidhulumiwa na tukibaguliwa.
Kama wewe haya huyataki basi sina njia nyengine isipokuwa kukueleza kuwa waafrika tulikuwa wenye furaha sana chini ya sultani and we wish...
Kama ndio unalazimisha kusikia maneno ya kijinga basi aliekuwa behind the revolution yaani mwenye mapinduzi yale ni Watanganyika. OK? Are you happy now?
Kuna ubaya gani jirani yako akakupa mipango na akakusaidia kihali na mali ya kulitoa joka ndani mwako?
Jamani itabidi tena nisomeshe history hapa ukumbini. Naona kazi hio sitoweza.
Sasa wewe kwani unataka vipi? Unataka muarabu angelibakia akitawala mpaka leo?
Sawa!
Hahahahaha!
Usinichekeshe na Christmas hii.
Sinahaja ya kuisoma historia ya usultani Zanzibar. I lived that history.
Shamte hata kama alipata viti 10 he was still a stooge of the arabs. FULL STOP!!!
That question is irrelevant.
Hivyo ukitaka msaada wa kulitoa joka ndani mwako, will it matter to you nani kakusaidia?
Hujasikia wewe ule msemo..."Mtumikie kafiri ili upate mradi wako'! Sasa does it matter to us, kama ikiwa ni Wamakonde, Waganda au Watanganyika waliotusaidia? La umuhimu ni kuwa...
Kwani nilisema nini? Sio nilisema watakaa jela kidogo halafu watatolewa?
Wewe huujuwi ukweli, Shamte alikuwa kibaraka tu!
Uwaziri Mkuu ALIHONGWA ili asijiunge na ASP na sio kwasababu alikuwa popular kwa vile viti vyake vitatu. Waulize historians wetu watakujuvya. Shamte angelibakia pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.