Yeyote aliye makini atakaposoma andiko langu, halafu akapitia maoni yako, haraka sana anang'amua kuwa tunaishi dunia mbili tofauti na vilevile uwezo wetu kifikra na katika kuanisha mambo unatofautiana mbali mno. Jaribu kusoma upya nilichoandika na jipe muda wa kutafakari kabla hujaandika maoni yako.
Kwa dhati nampongeza Rais Dk. Magufuli kwa uamuzi wa Serikali yake kutimiza ndoto ya Taifa kuhamishia makao makuu Dodoma. Pamoja na pongezi hizi, kuna jambo moja nimeshtukia linakinzana na kaulimbiu na jitihada za Rais kupunguza matumizi ya taaasisi za umma hasa kwenye mambo kama posho za safari...
Published: 14 October 2016 ID: G00317560
Analyst(s): David W. Cearley | Mike J. Walker | Brian Burke
Order Reprints
You may request paper or digital reprints on the ensuing order form.
Summary
Gartner's top 10 trends will drive the future of the intelligent digital mesh. Enterprise...
Mpendwa Dada mwenye picha zifuatazo hapo chini,
Nimeokotoa flash mobile yako ikiwa na vitu mbalimbali lakini vikiwa havionyeshi utambulisho wala njia yoyote ya mawasiliano. Nimetumia signature ya doc mojawapo ambayo imesainiwa kama "Tuty wa Pwani" kukutafuta.
Usomapo au ufahamishwapo juu ya...
Kampuni yetu inayojishughulisha na utengenezaji wa vinywaji vikali na wines inazo nafasi za kazi zilivyotajwa hapo juu katika mkoa wa Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Moshi na Shinyanga, Simiyu na Geita.
Tunakaribisha maombi kutoka kwa watu wenye sifa zifuatazo:
Ubunifu wa mikakati ya kutafuta...
Hivi mnajua kusoma kweli? Kuna mahali mie nimesema nazalisha kwa ajili ya kuuza au mnaendeshwa na hisia? Eleweni kujifunza mapishi siyo lazima uanzishe kiwanda. Wanaowapikia majumbani mwenu wamethibitishwa na TFDA au wana vyeti vya TBS? Kwani kila mwenye hobby na mpira ni mchezaji? Msiwe...
Zanzibar Spices LIFE IS HOW YOU THINK AND MAKE IT
Hakuna shuruti kwa yeyote kupoteza muda na na kujaza server ya JF kwa mchango usio na tija. Umewahi kumuuliza Yaya wako au mkeo cheti kwa mapishi anayokuandalia? Wafanyakazi alioanza nao Bakheresa walikuwa na Degree ngapi? Mie nikuombe tu...
Anahitajika mtu mwenye ujuzi wa forumala/recipes zinazotumika kusindika vyakula na viungo mbalimbali kama Garlic Paste, Gindger Paste, Tomato Paste, Mango Pickles, Mayonnaise, Tea Masalla, Pilau Masalla, n.k. Sifa kuu ni ujuzi na si vyeti wala muda wa muombaji kukaa dalasani. Muombaji awe...
Pasco you are wrong. Mzee anayo PR kampani ya Digital Generation na siyo huyo front wa BCC (Born Before Computer) Tayari imefanya kazi nzuri tu kuondoa uchafu wa Mzee kwenye caches za mitandaoni. Hata leo ukimuuliza Google unamjua "Mzee wetu"? Atakuambia YEES!.....The Next President of Tanzania...
Mzee VUTA-NKUVUTE,
Bandiko lako haliwezi kukamilika maana orodha ya mambo ambayo Zitto amejing'ata ulimi ni lukuki. Mie naongeza moja tu la hivi karibuni. Akihojiwa kwenye MKASI-EATV na Hotmix ya EA Radio alisema Kahama, Kawe, Ubungo na Segerea wananiomba nigombee ubunge Mtu huyu huyu mwezi...
Wataalam wa Magari Gsana et al naomba ushauri na msaada.
Nataka kuagiza gari aina ya Toyota Passo. Ikiwa FOB quote ni US$ 1500, gari hii ya CC 1000 na YOM 2004 itanigharimu kiasi gani mpaka kuiingiza barabarani Tanzania?
Natanguliza shukrani!
Ref
116625
Status
In-Stock
Year
2004
Make...
Tuko tuko pamoja. Mwenzio tayari nimeanza kumuita Mh. Zitto Zuberi Kabwe, kwa cheo cha Mbunge wa Kigoma Kaskazini anayemalizia muhula wake kupitia Mahakama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.