Dawa ni kuja kuwafilisi hapo baadae kama wezi tuu wa rasilimali za wananchi.
Unajiuliza hata hao waitwao wabunge jee hawalioni hili kuwa sio sawa?
Au shida ni kuwa sio walio chaguliwa na wananchi bali walichomekwa tuu
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Jee ni malipo ya maumivu kwa wengine?
Ndio yale tunayosikia katika maombi kuwa " Ee Mungu tujalie tupate kifo chenye kheri".
Kumbe maana yake ni hii, kwamba tuepushiwe kifo cha mateso.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwa maana hiyo #2 was aware of what's going on?
Au hilo lilikuwa sharti na kukaa kwenye kigoda?
Bado nayakumbuka sana maneno ya namba one wa mabakamabaka aliposema " nitakuja kukuona ofisi kuna ya kuongea"
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Acha kuongea upuuzi, mbona hatujaona ukilalamikia kuwa viongozi wanapofanya matukio mabaya kama kuwatumbukizia vijana chupa za soda makalioni na kuachiwa ni matumizi mabaya ya uhuru?
Au unasubiri mtu aandike matusi kwa huyo atendaye hivyo ili useme anatukana kiongozi?
Hatutengenezi kizazi cha...
Umesema kweli kabisa Zumbemkuu, Lushoto kuna tatizo hilo na kuna kukumbatia uccm!
Wameipotezea ile hadhi ya Swiss of Africa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Lushoto shida ni wananchi wenyewe!
Wanaikumbatia CCM utadhani Luba na maendeleo hakuna. Unafiki umejaa hadi inashangaza
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kama kungekuwa na chuo kinatoa shahada ya ujinga basi chiembe ungetunukiwa;
Masters in Stupidity, 1st class.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Ushavimbiwa futari tayari!
Hueleweki unakusudia nini. Nguvu ya kikatiba haiwezi kumn'goa mwenyekiti wa CCM wa kuchaguliwa au mbunge unless afanye faulo za kimizengwe.
Alichofanya ndicho amestahili kufanya kwa madaraka yake, wewe ulitakaje? Amuue mmoja wapo?
Sent from my SM-A125F using...
Wewe ni mfalme njozi?
Mbona mnamvunjia heshima Lissu na kumfanya kuwa naye ni mwanasiasa malaya malaya?
Hebu omba radhi mbatizaji!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Siasa za uswahiba na kupigana majungu zimemfanya Rais amuondoe mkuu wa mkoa Singida Peter Serukamba baada ya kukwama kutimiza majukumu yake huku Rais akitamka hadharani kuwa Serukamba ni mchapa kazi.
Wapishi wakuu wa majungu hayo ambayo yametafsiriwa huenda yakawapa wakati mgumu CCM ni...
We jamaa kila nikisoma maandiko yako natetemeka sijui kwa nini?
Ila kuna wakati inanijia picha ya Thadei Ole Mushi sijui kwa nini!
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwenye hili naona umekubali. Maana hii thread ni ya muda mrefu, lakini mwisho umeona kuwa Lema ni nabii maana yote haya kayatabiri
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Halafu kweli ulevi sio beer na Konyagi tuu, hata madaraka!
Yaani pamoja na vilio vya huku na kule mtu haoni hadi kufikia watu wanakukebehi na kuliita majina yote "mama wa shoka" , "jemedari" na sasa wamempa jina lingine "Championi" anachekelea na kuona yuko juu badala ya kushtuka!
Nimekumbuka...
Nilichogundua huna kazi ya kufanya ndio maana unao muda wa kuandika magazeti marefu ya sifa tuu.
Kisha kwa vile unaweka namba ya simu unatumiwa vijisenti vya kujikimu.
Njia ya hovyo sana kijana kujikimu maana inapelekea wengi katika kundi la [emoji304]
Lakini dharula jambo la kawaida ila somo limeeleweka kwamba Watanzania huwa wana hamu kubwa kuwasikiliza hawa wasio ogopa kuikosoa serikali.
Leo kuanzia saa 12 asubuhi watu wengi wali tune Clouds FM ili wamsikie Lema, kuliko hata ingetangazwa Majaliwa au Makamba atakuwepo hapo.
Sent from my...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.