Habari ya leo wadau.
Leo nina kilio juu ya kampuni yetu ya TTCL. Kwa kipindi kirefu kampuni hii imeshindwa kabisa kushindana na makampuni binafsi yanayotoa huduma ya mawasiliano. Kushindwa huku binafsi nilitarajia waliopewa wajibu wa kuliongoza na kusimamia uendeshaji wake wangekuwa wabunifu na...
Naomba ujumbe huu uwafikie Chuo Kikuu Huria cha Tanzania ambao wameweka Tangazo kwenye tovuti yao kwa ajili ya wanafunzi wapya, lakini tangazo hilo halipakuliki (Undownloadable).
Hii ni hata baada ya kutumia browsers tofauti tofauti. Tunaomba wafanyie kazi ili wanafunzi wapya wapate kujua ni...
Wakuu, habari za majukumu.
Naomba kujuzwa, UDSM wanatoa lini admission letters na Joining Instructions, maana siku zinazidi kusonga wazazi hatujui ni nini kinahitajika mpaka sasa.
Nashukuru sana wakuu, nimepata muongozo na nimegundua ni kwa nini CRDB wanapigia chapuo sana SIMBanking na ikifika mwisho wa mwezi wanahakikisha ATM nyingi hazina pesa ili watu watumie simu na hivyo kukusanya mavuno ya kutosha.
Habari wakuu, Mimi ni mteja wa CRDB wa kipindi kirefu na nimekuwa nikitumia huduma za SimBanking kama zinavyotangazwa kwenye vyombo mbali mbali vya habari.
Lakini, kwa bahati mbaya au kwa makusudi CRDB wamekuwa wazito kuweka wazi gharama ziambatanazo na hizi huduma na imekuwa vigumu kuzipata...
Mheshimiwa Raisi, kwa heshima na taadhima sikupangii bali ninakuomba utuletee mkuu wa mkoa kijana hapa Dodoma ili aweze kuendana na kasi ya kuubadilisha mkoa wa Dodoma kuwa makao makuu.
Mheshimiwa Rais, ni dhahiri kabisa kwamba kwa mkoa kama Dodoma ambao ndio unatakiwa kubadilika kimuonekano na...
Mwandishi wa habari hii ni mpika majungu mkubwa!
Suala la reshuffle UDOM siyo geni hapa UDOM, ni karibu kila mwaka mmoja huwa kunafanyika reshuffle! Shida ni kwamba kuna watu mlikuwa mmeshajiaminisha kwamba hamuwezi kuhamishwa kutoka central administration kwenda knye colleges!.
Ushauri wangu...
Fanyieni kazimasuala ya msingi ambayo yamekwishazungumzwa na watu. Lakini kusisitizia tuu, jitahidini kuwapangia shughuli nyingine hao watangazaji wazee. Watangazaji hawana mvuto kabisa kuwaangalia, mwingine unakuta anaongea huku povu likimtoka kwa sababu ya utu uzima!!. Kama walivyozungumza...
Kwa kipindi kirefu mfanya biashara huyu anaejihusisha na biashara ya usafirishaji amekuwa ndio chanzo cha kuiharibu barabara inayotokea CBE kuja kuzunguka nyuma ya chuo cha veta.
Malori ya huyu ndugu, yakiwa na mizigo mizigo yamekuwa ni chanzo kikuu cha kuharibu barabara hii kwa kipindi kirefu...
Habari wakuu,
Nafikiria kuchukua Toyota landcr prado kama aina inayoonekana kwenye picha hapo chini. Naomba mnipe taarifa zake juu ya ulaji wa mafuta na uimara kwake kwa ujumla.
Nyie Makondakta acheni fitna zisizokuwa na maana!
Miongoni mwa Wakurugenzi ambao wanafanya Kazi nzuri ni pamoja na ndugu Kunambi. Kunambi kwa kiasi kikubwa ameweza kuficha mapungufu na udhaifu mkubwa walionao Mkuu wa mkoa wa Dodoma na Mkuu wa wilaya. Kijana ni mchapa kazi na ni mbunifu, japo...
Msitake kutuharibia nchi! hamjui ni kina nani walionyuma ya hicho mnachokiita maandamano ya wananchi. Kuna watu wanataka kuwatanguliza wananchi kwa interests zao wao wenyewe!. Huu ni upuuzi mkubwa...
Hakika serikali inakila sababu ya kuilinda amani na utulivu tulionao kwa gharama yoyote ile...
Fanya utafiti wa kutosha kabla hujaamdika kitunchochote chenye reference. Bandiko lako linaku expose kuwa hukifahamu vozuri hicho kipindi na pengine umeona leo kwa mara ya kwanza.
Hiyo ni show ya stand up comedy inayofanywa chini ya uongozi wa churchil ambae nae ni comedian. Kipindi hicho...
Inasikitisha sana, TCRA imekaa kimya wakati watu tunanyanyaswa na hii mitandao, binafsi sijawahi kucheza biko wala tatu mzuka hata siku moja, lakini kutwa natumiwa mimeseji inayonihamasisha kucheza biko, kweli huwa nakerwa sana, tena sana. Nakumbuka TCRA walitoa agizo mitandao ya simu kutotumia...
Yumo katibu wa ACT wazalendo mkoa wa Dar es salaam.
-> Wanawatangazia uma juu ya hali mbaya ya chama chao kilichoibuka na matumaini mapya kama chama mbadala wakati wa kuanzishwa kwake.
-> Watu wengi walisema hiki ndicho kitakachokuja kuwa chama bora cha siasa
-> Chama kilijinasibu kwa misingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.