Haya ni yaleyale.50 umechukua, hotel, chakula, usafiri umeshiriki na kukaa na January akaeleza yake ukasikiliza na hukumuuluza maswali.umemaliza 50 maswali unakuja uliza kwenye Jf wengine hata 10 hatujaona.wewe koma bana hukohuko.
Kumbe wewe ni taarifa ya kusikia kutoka kwa dadio? Je na ile habari ingine ya yeye na shemeji yako ashawahi kukusimulia mapigo? Na sio kweli kwamba amekunywa damu, alichokunywa yeye ni KISUSIO ambacho ni mchanganyiko wa SUPU YA NYAMA na DAMU.Mchele ulipikwa unaitwa je?
Juma Kaseja anapokuwa na ubora na heshima kubwa kuliko Mzee Akilimali baba umeliona hilo.wewe baba piga kelele tu lakini ikishakubali kuwa kibaraka wa tajiri Manji hayo ndio matokeo. Wasalam Mzee Akilimali
R.I.P.rafiki yangu JAMES KISAKA nitakukumbuka daima kwa ushauri wa hekima wakati tulipofanya kazi wote AFC (NDOVU), DULUTI S.CLUB.Mungu aipumzishe roho yako mahali pa amani.Amen!
ZZK usikubali mpaka kieleweke CDM ni taasii ya watu sio ya mtu na demokrasia lazima ipatikane ndani ya CDM na wewe ndie utakaeeletea democracy ya kweli CDM
Hizo ndio faida za kukimbilia kusajili wachezaji kutoka Simba. Viongozi wa YANGA wabadilike aina ya usajili wanaofanya wanafikiri wanaikomoa SIMBA kumbe wanajikomoa.na bado!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.