Mimi nadhani serikali ingeogopa zaidi mgomo wa kimya kimya ambao lazima tukubali kuwa upo na umekuwa ukiendelea kwa miaka yote kufuatia mishahara na maslahi duni. Hospitali manesi hawashtuki kwa lolote; maofisi ya serikali ni story tu na kunywa chai barua ya mistari miwili inabidi usotee hata...
Nampongeza sana Kyando. Lakini najiuliza hivi kijana huyu na hao old dogs kwenye board itakuwaje? Tatizo kubwa la wazee na wazee vijana ni kuwa wanaogopa sana mambo mapya. Kyando una kazi lakini nakuaminia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.