Okay, Mmakonde kumbe ishu yako ni ubora wa chuo anachosoma na sio walakini juu ya uwezo wake kulipia hiyo gharama? kama ndivo basi yaonyesha unamwonea huruma na hilo ni jema nsa bila shaka una data kamili za ubora wa chuo hicho maana upo huko pia. lakini pia sio lazima serikali imlipie kuna...
DAta zako hazina uzito ku justfy ufisadi wake, ww unaona hiyo ada ni sababu ya kuwa fisadi? watanzania wengi wanasoma ughaibuni lakini sio kuwa wanajilipia! bring more data to justfy your statemnt, otherwise una yako binafsi
[/B][/COLOR]
Na hii imekaaje wajameni? inawezekana tunazugana kumbe watu wana update data zao? na huenda sasa data zipo based kwenye hizo sifa, mweeee! hivo wameona wanaume ni target kwa sasa. Fidel weka angalizo juu ya hilo. Abdul katahadharisha hapa you never know!:rolleyes:
Huenda hii ni kati ya sababu zake:
kuna kitu inaitwa kanuni ya mvutano ( law of attraction) katika hii sheria ni kwamba kila unachokiwaza ndio hutokea, maana unapowaza unatoa signal ambazo huenda katika dunia ambayo kutokana na sheria hiyo, dunia hujiadjust ili kutekeleza zile siginal...
katika ile 30% mimi nipo pia, one of the most serious MAN come sun come rain. my wife is a place where I will always get relief and not otherwise. UPENDO tuu ndio Dawa yake, Kila la kheri G!, ningekuwa mitaa hiyo ningehudhuria tukio lako la kupata mweza, Mungu akutangulie bro1
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.