Search results

  1. Mgosi wa Sui

    CRDB wang'ang'ania mishahara ya watu ya mwezi mei hadi leo

    Mimi ni mtumishi wa umma nina account CRDB ,ni kweli mishahara inachelewa lkn siwezi kuacha kupitishia mshahara CRDB kwasababu ni nje ya nchi mali naTZ lakini naweza pesa yangu kupitia visa Card ya crdb lakini NMB hawana kadi za ATM unazoweza kutumia nje ya TZ. hata kuna benki nyingine huko...
  2. Mgosi wa Sui

    CRDB wang'ang'ania mishahara ya watu ya mwezi mei hadi leo

    Mto mada hafanyi promotion, ametaja NMB kwa sababu mishahara ya watumishi wote wa umma huwa inapitia NMB kabla ya kwenda benki nyingine.Hivyo hakuna benki nyingine ambayo itaweza kuanza kuweka mishahara ya watumishi wa umma kabla ya NMB.
  3. Mgosi wa Sui

    Huyu ndiye Nicholas Mgaya - Katibu Mkuu TUCTA

    Kawawa alipokuwa kiongozi wa shirikisho la wafanyakazi aliweza kusaidia harakati zakuleta uhuru kwa kuwahamasiha wafanyakazi kushiriki kuwang'oa wakoloni ndio maana JK anapata mchecheto na kumthumu Mgaya kuwa anatumiwa na wanasiasa.
  4. Mgosi wa Sui

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hivi huyu Wenger kwanini amempanga Silvester?
  5. Mgosi wa Sui

    Nimwokoaje Dada yangu??

    kubaliana nae aje moro ,akija mueleze anavyofanya ni hatari na umuonye asipoacha ulafi utamweleza dada yako
  6. Mgosi wa Sui

    Hii habari ni kweli na huyu Miss ni nani?

    Gazeti moja lilimtaja nakumbuka jina la kwanza tu ni Nelly
  7. Mgosi wa Sui

    Tanzania Labour Law (Sheria ya Kazi Tanzania)

    Jamani nisaidieni kupata "Public service Regulations 2003 nimeangalia website ya bunge haipo. Natanguliza shukurani
  8. Mgosi wa Sui

    Movies gani unapendekeza nitafute

    Why did I get married too?& My cousin Viny
  9. Mgosi wa Sui

    Kuna msichana yeyote wa JF Arusha?

    Mtafute Samenya anapatikana huko
  10. Mgosi wa Sui

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huu ushindi mtamu sana,ile kadi Ref was too harsh.Silverster asichezeshwe ataharibu kabisa.Song acheze na Campbell na Diaby acheze nafasi ya Song.kesho Liverpool 2 Manchester1
  11. Mgosi wa Sui

    Tusitupe Majina Ya Ukoo

    Ni vizuri kutumia majina haya ya ukoo/asili kwani yana kutambulisha.Kuna watu ambao asili yao ni Africa wanayatamani haya majina ,mfano Prof Maulana Kalenga & Jumbe Hodari.
  12. Mgosi wa Sui

    Nisaidieni jamani nifanyeje?

    Pole sana Mangi,unapaswa kumshukuru mungu kwa kukulinda muda wote huo,pia napenda kuwapongeza wana jf wote kwani wote waliochangia wameonesha wazi hisia zao jinsi walivyoguswa na yaliyokufika na wamejaribu kukusaidia kimawazo.Hapa mimi kweli nimefarijika na nieona kuwa hii ni sehemu ya uhakika...
  13. Mgosi wa Sui

    Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

    Tumbo Tamimu Risasi na Peter Makorongo
  14. Mgosi wa Sui

    Paul Kimiti Unsung Hero

    Huyu jamaa ni miongoni mwa wachache walitahidi katika suala zima la uongozi na uadilifu
  15. Mgosi wa Sui

    The best.....enzi za form two hizo

    Wakuu hii hata mimi imenikumbusha those good old days.Nilikuwa Milambo, disco la mchana likiwa T.girls ( Warsaw) wanaume siku nzima inakuwa maandalizi tu.Wale mabitozi tulikuwa hatupandi lori la shule, tulikuwa tunachanga pesa na kukodisha Cab,basi hapo watoto wa warsaw walikuwa wanatuzimia na...
  16. Mgosi wa Sui

    Mnyika aishukia serikali kuibeba familia ya Kingunge

    Hii kampuni haikvurunda kitu.kampuni ilingia mkataba halali na iliwasilisha kiwango walichokubaliana sasa makosa yako wapi.Kama ni kuchemsha basi ni jiji.Jiji kabla ya kutoa kazi walipaswa kufanya utafiti kujua ni kiasigani kinapatikana .Kiasi hicho ndicho walipaswa kuwataka holding...
  17. Mgosi wa Sui

    Bodi ya mikopo yatoa majina ya wanaodaiwa.

    Kwa wale mlimaliza miaka 12 iliyopita na serkali ilikaa kimya huo mkataba ia time barred .hapa wakienda mahakamani ni objection mapemaa
  18. Mgosi wa Sui

    Should Maximo stay and enjoy the money 4 nothing? - Contract to be renewed?

    Maximo ,ameshindwa kazi.Wala hawezi kujisifia kuwa amelotoa soka la bongo kutoka wadi ya wagonjwa mahutihuti na kupeleka kwa wagonjwa wenye nafuu.Kilichafanya mabadiliko hayo ni jitihada za serikali na wadau kuweka mazingira mazuri kwa wachezaji.ikumbukwe mwaka 1980 mafanikio ya stars...
  19. Mgosi wa Sui

    Ni lazima sehemu ya uume ikatwe??

    Wazungu huwa hawajali kukata.Jamaa yangu huku alikuwa na mtoto wake wa kiume ambaye alizaliwa bongo na hakuwahi kukatwa huko, alipofika huku akampeleka mtoto wake kwa daktari ili akatwe,yule daktari akamwambia usimkate haina shida yoyote anaweza kukaa hivi hivi.Hapa mimi nilishangaa sana...
  20. Mgosi wa Sui

    The Tiger Woods Saga and beyond

    jamaa amekwisha aga dunia
Back
Top Bottom