Na unafanya uchambuzi ukiwa zako pangani umetulia kimya huna habari, ukitoka hapo unatafuta chai na chapati, unashiba unaweka tena bando unalala kitandani unaanza uchambuzi wa vita,
Wakuu,
Hivi mliwahi kushuhudia uenezi wa hao jamaa?
Hao alikua akiwa sehemu akiropoka au kuongea la maana mitandao na vyombo vya habari vyote inakua ndio taarifa muhimu.
Sasa mwenezi kama makala kweli yaani hata vyombo kureport habari zake wanaona uvivu tu.
Hao wenezi Kwa mfano Nape...
Ukweli usemwe,
Kuanzia katibu mkuu, Naibu, Mwenezi wanaweza kuwa walifanya vizuri kwenye siasa nyakati zao lakini kwa sasa hapana.
Historia inajirudia inanikumbusha Sekretarieti ya Katibu Mkuu Mzee Mkama na hii ya sasa wanafanana sana na hawana tofauti.
Hadi sasa CCM imeingia choo cha...
Chanzo cha usaliti ni mwanamke, toka enzi na enzi jaribu kukumbuka mbegu ya usaliti iliopandwa na eva dhidi ya adam na delila dhidi ya samson, ndio maana mwanaume akaaswa aishi na hawa watu Kwa akili sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.