Kwa kuwa kikao hicho kinajumuisha majaji wengine kutoka nchi zingine za Africa anataka kuonekama kwamba hapa nyumbani kwake hayo anayotoa kama challenge ya kikao yanatekelezeka ili Kujipatatia SIFA maana huko nje wanamfagilia kweli!! wakati nyumbani kunateketea
Sipo umeongea pointi makini, bila shaka ni asilimia 99.9 .dada fanya uchunguzi na zaidi kama unaweza pata ile namba ya simu iliyokubwa na msg then fatilia kwa watoahuduma wa mtandao huo wa mawasiliano na hapo utaweza kujua mmiliki halizi wa namba hiyo ya simu kama ni mr au mrs maana wao wana...
Mh! nahisi wanatucheze mazingaombwe tuu hapo! tumaini ni finyuuu kabisa.. wapo pamoja kabisa... Ni ipi kauli ya baba mwenye nyumba had sasa??? hapo ndipo kitandawili cha mazingaombwe kinapokuja..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.