Nimenukuu kutoka katika Biblia si maneno yangu siku hizi kuna kamtindo kamezuka mzazi kumpenda mtoto mpaka mtoto badala ya kwenda vizuri ndio anaharibikaa hata ile kumsema mtoto anaogopa eti asijemuuzi sasa hapo kumbe ndio tunatengeneza bomu .
Nimetoa hii kwa vile ninaona rasilimali za maeneo mengi zimebinafsishwa huku wenyeji wakiwa hohehahe na hawajui wafanye nini wakuwatetea hayupo mfano hapo nyamongo tumeona mwekezaji yupo lakini mauwaji ya kutisha na watu mifugo kudhurika na sumu za dawa au madini lakini wapo wapo tu sasa...
Mdau hakuna mzazi kuonewa ila mtoto ukimlea katika maadili na misingi iliyo imara hakika Malaika watamlinda mpaka siku za uzee wake, na hiyo ya wazazi kulea watoto imeandikwa ndani ya Biblia na imeandikwa mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako kabla hazijakaribia siku zilizokuwa mbaya .
Ms neddy sawa hakichagui lakini Mungu hapendi watu wake waangamie sio vifo vyoote Mungu ana husika shetani nae anataka wafuasi wake wawe wengi na ndio maana kama wewe ni mkristo Biblia imeandikwa maisha ya binaadamu ya kuishi ni miaka 70 zaidi ya hapo ni shida na mateso meengi , na dhambi ndio...
Daah kifo bana alikuwa katoka kunywa pombe poleni waf iwa lakini wazazi simamieni hapa enyi wazazi waleeni watoto wenu katika njia ipasayo nao hawataiacha mpaka uzeeni.
Wadau hii nchi ni yetu sote kwa binaadamu yeyote aliye mtimilifu anaona au kuhisi kitu hali si hali tena, kuna ombwe la uongozi penye ukweli uongo hujitenga,
Hapa tulipo kwa sasa nikama tupo kwenye jahazi na tupo katikati ya bahari na mawimbi ni makubwa pembeni yetu kuna meli kubwa ina...
Natama siku moja serikali itangaze kubinafsisha mlima kilimanjaro tuone kitakachojiri kwa wakaazi wanaozunguka maeneo hayo , tumeona nyamongo, bulhankulu huko.shinyanga, mirerani , longido na kwingineko hembu wajaribu na huku nchi izaliwe upya.
Umenitonyesha kidonda mwenzio nina hela zangu huko namwachia Mungu sijui kama nitazipata kuna wapo wengi tu na wengine ni marehemu kwa sasa hii nchi ina wadhulumati kweli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.